Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,688
- 4,633
hahahaaa sasa kwenye arusi yangu utaimbaje pacha, wakati sauti umeshaipoteza?
mpaka siku ya harusi
nitakua nipo fit bana,nakunywa
mayai mabichi acha kabisa!!
hahahaaa sasa kwenye arusi yangu utaimbaje pacha, wakati sauti umeshaipoteza?
atukuanzia huku, tulikutana kwenye birthday ya Passion Lady
Tunaimba kwa lugha za alamana wewe kikwenu mnaimbajie? weka hapa
hahahaaa umenikumbusha kwetu Tanga ujue..........!
Ni mdodo mamie mwali ni mdodo....... Auwaaauwaa
ni mdodo tatie mwali ni mdodo....... Aawaaauwaaa
wabwanga nnanao, wandele nnanao......
Segere jangu jadumka wabwanga, tucheze segereeee
segere jangu jadumka wose tucheze segere
ngoma ya wazigua yawatuliza mawazo jamani....... Wapi figganigga wapi Passion Lady wapi msambaa Madame B!!!!!!!!
kabanga wenzio chabwedaa na ngoma ya wazigula cha vina vidala vinohalusee!!!!!!!!
Arushaone soo uone mauno ya Lady doctor
aaeeeee luwajaaaaa!!
shost nawe umo huku kumbe!!
hahahaaa umenikumbusha kwetu Tanga ujue..........!
Ni mdodo mamie mwali ni mdodo....... Auwaaauwaa
ni mdodo tatie mwali ni mdodo....... Aawaaauwaaa
wabwanga nnanao, wandele nnanao......
Segere jangu jadumka wabwanga, tucheze segereeee
segere jangu jadumka wose tucheze segere
ngoma ya wazigua yawatuliza mawazo jamani....... Wapi figganigga wapi Passion Lady wapi msambaa Madame B!!!!!!!!
kabanga wenzio chabwedaa na ngoma ya wazigula cha vina vidala vinohalusee!!!!!!!!
Arushaone soo uone mauno ya Lady doctor
teh teh, mkuu umenchekeshaje! ngoja wachaga waje hapa. . . Nicas Mtei unaitwa hapa utoe ufwafwanuzi wa kina. . .
Kwenye harusi wachagga huwa wanatia aibu, wavivu kucheza hao...
hahahhahahahah. Nyimbo ndo zinazsababisha.. huwezi kukata kiuno kwenye wimbo wa blues
Meine knedige fraulein Lady doctor,grun, grun, grun, sind alle
meine Kleider
grun, grun, grun, ist alles
was ich hab
Darum lieb ich alles
was so grun ist, weil mein schatz
ein jager..... Jager....... Ist
Kaizer endelea nimekumbuka enzi zetuzileeeee!!!!!!!!!
Wanaogopa pick pocket hao,hawaaminiani!Hahahah...mpwa kuna ule wimbo wenu fulani hivi huwa mnatengeneza duara halafu mnashikana mikono kama mchezo wa "Ukuti Ukuti".....huwa wanifurahisha sana lol!!!
aaeeeee luwajaaaaa!!....sosi: Passion Lady
acha kabisa lol
kwa wakwe zangu nako kunanogaga
raha mpaka kumoyo!!
​hilo tu usijali!!Ukienda huko kusalimia uwe unakumbushia basi..teh
Hahahah...mpwa kuna ule wimbo wenu fulani hivi huwa mnatengeneza duara halafu mnashikana mikono kama mchezo wa "Ukuti Ukuti".....huwa wanifurahisha sana lol!!!
aaeeeee luwajaaaaa!!....sosi: Passion Lady
Wanaogopa pick pocket hao,hawaaminiani!
Meine knedige fraulein Lady doctor,
Ich liebe dich sehr,
Ich will deine zu gerhaten,
Du bist sehr schon,
Du kanst meine herze haben,
Meine kumpf auch,
Du bist meine erde........niendelee kufunguka Lady doctor?
Meine knedige fraulein Lady doctor,
Ich liebe dich sehr,
Ich will deine zu gerhaten,
Du bist sehr schon,
Du kanst meine herze haben,
Meine kumpf auch,
Du bist meine erde........niendelee kufunguka Lady doctor?
hahahhahahahah. Nyimbo ndo zinazsababisha.. huwezi kukata kiuno kwenye wimbo wa blues