Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Wadau najua kila mmoja ana mila za kwao. Hebu tukumbushane kidogo miiko yetu ili hata ambao hawazijui waweze kufahamu kwamba zilikuwepo. Hapa haijalishi ni kwa kabila, koo n.k
Mfano:
1. Mwanamke akiwa anasonga ugali mwiko ukivunjikia sufuriani ni mbaya (sijui ubaya wake ni nini)
2. Mtoto akianza kuota meno ya juu, akija kuoa/kuolewa mwenza wake atakufa,
3.
4.
Tuendelee
Mfano:
1. Mwanamke akiwa anasonga ugali mwiko ukivunjikia sufuriani ni mbaya (sijui ubaya wake ni nini)
2. Mtoto akianza kuota meno ya juu, akija kuoa/kuolewa mwenza wake atakufa,
3.
4.
Tuendelee