Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
kuna mwalimu mmoja pale singe secondary babati arusha jina lake ni Njiku,meno yake yamechomoza nje basi madent walimuita ngiri
Mwalimu Go home bling ur father-Magadura..Lake Sec MWANZA mwalimu wa kemia
Ahahahaaah!!!kibano...... Huyu mwalimu wetu wa geog,o-level. Suruali zake zote zilikuwa zikimbana
Umeniongeza furaha hapo...alilewa( nzwiii).Von soden= mwalimu wangu wa history la sita (topic ya scramble for and partition of africa)
Diki short form ya DICTATOR= rector wangu secondary alikuwa mkali dunia nzima
Perfomerr= Mwalimu wangu na manual work cordinator, huyu jamaa alikuwa kama john cena ulingoni
Maya= mwalimu wangu wa commerce na book keeping; alikuwa mtu mzima but she behaved like a teenager
Lawino= mwalimu wangu wa literature aligombana na mumewe zikachapwa kavu kavu shuleni tena baada ya parade ya saa tisa.
Kanyundo= mwalimu wangu wa history alikuwa mfupi hujawahi ona!
Babu= ni kawaida kwa walimu wazee
Mandible= mwalimu wangu wa biology form three alikuwa na mdomo mpana balaa
Kenge= huyu ticha alikuwa mkali halafu ana sura ka jiwe
Nyerere= mwalimu wangu wa siasa la tano, mwaka mzima alifundisha juu ya azimio la Arusha
kipipa= alikuwa mwalimu wangu wa kiingereza la nne, alikuwa binti na kiherehere usiombe ukutwe na kosa halafu upelekwe ofisini na ye awepo alikuwa na umbo la mviringo mwili mzima ka mpira.
Kimbilio= huyu alikuwa maza angu si mnajua alikuwa ticha wa primari? alikuwa mpole na alipenda kuwatetea madenti!
Faru huyu aliitwa Mwl Byarugaba, alikuwa akitokea kule BK kwa kina iwe, alikuwa ka faru, uwe na kosa huna ukikutana naye unakula kwenzi (nyundo). Alipenda sana kunywa "pingu" hata aubuhi alikuwa nzwi!
Kuni= huyu mama nadhani hakuwa na bajeti ya mkaa manake kila ijumaa alituagiza kuni!
Jamani tumetoka mbali!
Lol, Mhandisi!
Nimecheka lakini sasa namhurumia huyo Gurudumu.
Tumshukuru Mungu kwa kazi zake.
Fiudo-mwalimu anyefundisha Civics, pat ya modes of production (Feudalism)
Exotic-Mwalimu aliyepewa jina baada ya kufundisha exotic breeds of livestock
Jesus, mwalimu wa saint anthonys mrefu anapiga stiki balaa.
so much,makumaku,mkanda boy hivi vichwa ni balaa...walikuwa waalimu maarufu kwa kuchakachua tuition..kama kuna mtu amesoma PCB au PCM lazima keshakutana nao au notice zao.