Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

masharubu

Senior Member
May 5, 2010
155
10
Nakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo:

1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo

2. Bambabay - mwalimu wa commerce form 3 alikua akielezea transport system,akaitaja bambabay ndio ikawa jina lake.

3.Magazijuto - mwalimu wa hisabati darasa la saba alifundisha magazijuto na yeye ndio ikawa jina lake la utani au aka

4. Chonya of chilimwa - mwalimu wa kiswahili secondary alisoma habari za chonya of chilomwa akawa ndio jina lake

tupeni majina zaidi
 
5. Academic Desert - Mwalimu wa agriculture F3 aliye kuwa na kipara

6. Walking Encyclopedia - Mwalimu wa English F5 aliyekuwa anapenda kuongea bombastic words.
7. Mwalimu Peasant - Mwalimu wa agriculture F 2 aliyekuwa anajihusisha na kilimo ili ku suppliment income kwa vile mshahara ulikuwa hautoshi.
 
nakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo:

1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo

2. Bambabay - mwalimu wa commerce form 3 alikua akielezea transport system,akaitaja bambabay ndio ikawa jina lake.

3.magazijuto - mwalimu wa hisabati darasa la saba alifundisha magazijuto na yeye ndio ikawa jina lake la utani au aka

4. Chonya of chilimwa - mwalimu wa kiswahili secondary alisoma habari za chonya of chilomwa akawa ndio jina lake

tupeni majina zaidi

basuba-mwalimu wa english tulimfuma kona anacheza wimbo mmoja hivi wa kikongo uliokuwa na kikorombwezo basubaaaa
 
Fuvu:
huyu alikuwa discipline master. noma. mwembambaaaa kama snoop dogg.

Kisu:
Bonge la headmaster niliyewahi kumuona. Aligeuza shule iliyokuwa ya wahuni kuwa shule yenye heshima inayofaulisha kwa kiwango cha juu bila mitihani kuvuja. Huyu jina yake kamili ni Kisusange. Kuna wakati alihamaki, akauliza wanafunzi: "naskia kuna wanafunzi wananiita Kisu, hivi wewe baba yako unaweza kumuita ba?"
 
Fiudo-mwalimu anyefundisha Civics, pat ya modes of production (Feudalism)
Exotic-Mwalimu aliyepewa jina baada ya kufundisha exotic breeds of livestock
 
Nakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo:

1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo

2. Bambabay - mwalimu wa commerce form 3 alikua akielezea transport system,akaitaja bambabay ndio ikawa jina lake.

3.magazijuto - mwalimu wa hisabati darasa la saba alifundisha magazijuto na yeye ndio ikawa jina lake la utani au aka

4. Chonya of chilimwa - mwalimu wa kiswahili secondary alisoma habari za chonya of chilomwa akawa ndio jina lake

tupeni majina zaidi

Von soden= mwalimu wangu wa history la sita (topic ya scramble for and partition of africa)
Diki short form ya DICTATOR= rector wangu secondary alikuwa mkali dunia nzima
Perfomerr= Mwalimu wangu na manual work cordinator, huyu jamaa alikuwa kama john cena ulingoni
Maya= mwalimu wangu wa commerce na book keeping; alikuwa mtu mzima but she behaved like a teenager
Lawino= mwalimu wangu wa literature aligombana na mumewe zikachapwa kavu kavu shuleni tena baada ya parade ya saa tisa.
Babu= ni kawaida kwa walimu wazee
Mandible= mwalimu wangu wa biology form three alikuwa na mdomo mpana balaa
Kenge= huyu ticha alikuwa mkali halafu ana sura ka jiwe
Nyerere= mwalimu wangu wa siasa la tano, mwaka mzima alifundisha juu ya azimio la Arusha
kipipa= alikuwa mwalimu wangu wa kiingereza la nne, alikuwa binti na kiherehere usiombe ukutwe na kosa halafu upelekwe ofisini na ye awepo alikuwa na umbo la mviringo mwili mzima ka mpira.
Kimbilio= huyu alikuwa maza angu si mnajua alikuwa ticha wa primari? alikuwa mpole na alipenda kuwatetea madenti!
Faru huyu aliitwa Mwl Byarugaba, alikuwa akitokea kule BK kwa kina iwe, alikuwa ka faru, uwe na kosa huna ukikutana naye unakula kwenzi (nyundo). Alipenda sana kunywa "pingu" hata aubuhi alikuwa nzwi!
Kuni= huyu mama nadhani hakuwa na bajeti ya mkaa manake kila ijumaa alituagiza kuni!

Jamani tumetoka mbali!
 
SHAMBOKO: Alikua mwalimu wa kiingereza. Ilikua mkimuudhi na anataka kuwaadhibu kwa fimbo basi anasema 'ntawachapa sjambok' sisi tunakawa tunasikia kama amesema shamboko, ndio likawa jina lake tangu hapo.
 
NGUDI -= Mwalimu wa kiume alikuwa kabinuka kwa nyuma
Colloque - Mwalimu wa kiingereza
Museveni - alikuwa discipline master mnoko zaidi ya unoko wenyewe yaani hata akicheka huwezi kuamini kuwa anacheka
Desert - Rector alikuwa na kiupara

Kwa kweli maisha ni safari, kwani unoko wao ndo umetufanya tufike hapa lasivyo tungeishia pabaya sana
 
Caitano--Mwalimu Mkuu Kahororo,alikuwa mkali lakini mpenda maendeleo ya wanafunzi.Alikuwa tayari kukuchapa fimbo kwa kosa ambalo ungeweza kufukuzwa shule.Jina lake Mwakyulu.

Yesu- Mwalimu wa Kemia.

Mabomu/Budhizim--Mwalimu wa Jiografia.
Burugo/Fang fang-- Mwalimu wa michezo.
 
monera -mwalimu wa bios f3
piano-mwalimu wa eng f2
tozi-mwl wa history f4huyu alikua anapenda kuvaa jins na tshirt na tai
nguvu-mwl wa history1 f5huyu alikua anatumia nguvu nyingi sana kuchapa
chaja-mwl wa lang1 f5 alikuwa anakigugumizi
beberu-mwl wa gs f6 alipenda kuita watu beberu
gaucho-mwl wa language f6 alikua na kichogo kikubwa sana


 
Sidhani kama kuna mwana Jitegemee yeyote asiyemjua DUDUWASHA huyu alikuwa displine master.Na kwa wale Azania tulimpa mwalimu wetu jina la NOMALE sababu tu alikuwa akipenda kusema normally.
 
Fuvu:
huyu alikuwa discipline master. noma. mwembambaaaa kama snoop dogg.

Kisu:
Bonge la headmaster niliyewahi kumuona. Aligeuza shule iliyokuwa ya wahuni kuwa shule yenye heshima inayofaulisha kwa kiwango cha juu bila mitihani kuvuja. Huyu jina yake kamili ni Kisusange. Kuna wakati alihamaki, akauliza wanafunzi: "naskia kuna wanafunzi wananiita Kisu, hivi wewe baba yako unaweza kumuita ba?"

Dah, umenikumbusha mbali sana juu ya hii stori ya Kisu na ba-si alikuwa wa Iyunga Tech huyu? Aisee siyo siri jamaa ni noma ktk headmasters-Thanks Ng'wanangwa
 
(Kangaba)=mwalimu wangu wa history form 2 kibaha sec,alipenda sana kuiongelea historia ya falme ya kangaba.(Abacha)=mwalimu wa nidhamu kibaha secondary.(Marlboro)=Mwalimu wangu wa jiografia,alipenda kuvaa kofia aina ya pama na muda wote alikuwa na sigara mdomoni.
 
Back
Top Bottom