Tukio la Bomu Arusha: The game was planned - kauli ya baadhi ya polisi

Kwanza wewe ni nani mpaka uthibitishe hii taarifa?,hakuna sosi na ilivyoandikwa ni kama vile ulikuwa umesimamiwa!!!!!!,maelezo ya kipuuzi hivi wapelekee wapuuzi wenzio bwana humu tunahitaji taarifa zilizokamilika.

Mkuu wangu.Tusiweke siasa kwenye vifo vya watu.Cha kufanya ni kumuomba mleta mada aweke video.
 
Hata tusipochaguliwa na wapiga kura tutatangazwa washindi.
hii kauli ya ajabu sana tena kutoka kwa viongozi waandamizi.
 
Chadema mnafanya haya kwa kuwa mnajuwa wa kumnyooshea kidole ni nani, mnataka kuaminisha watanzania kuwa ninyi mnaonewa ili mpate huruma ya wananchi huu ni uhuni unaopaswa kupingwa kw nguvu zote, kw nn kila ni nyinyi tuu .wenye kufikiri zaidi lazima wajiulize sana kuhusu hili.
 
Mkuu hili tukio halihitaji chembe ya siasa, subiri video iwekwe sote tutaiangalia.
Haihitaji elimu ya chuo kusema huu ni mpango mbaya wa serikali ya ccm wakiongozwa na mwigulu nchemba kupanga unyama hui

Mkuu unahakika siyo mwalaabu?
 
Ni kweli kabisa, manake hata video inaonyesha baada ya kurusha bomu alikimbilia kwenye gari la polisi halafu likaondoka kwa kasi ya ajabu.
Video tutai upload muda si mrefu!
Ni hatari sana ccm kutumia isalama wa nchi kufanya ugaidi!
Hii damu itawalilia wao pamoja na wote wanaosapoti unyama huu!
Mark my words!
Mh hii nayo kali,na kama mnamjua huyu mtu,Magamba wamekwisha!
 
Asilimia 90% ya mambo yanasemwa TZ kuhusu kitu chochote kile ni uongo na uzushi tu, kuanzia fulani ana Ukimwi, mpaka fulani ni Fisadi, au fulani anatembea na fulani, au watu wamefumaniwa wakifanya ngono miili yao ikagandana, na hivyo na hili haliwezi kuwa tofauti pia!

siyo mbaya kulingana na id yako ni sawa kabisa. Hongera kwa kuwa kijakazi wa wanaume wenzako
 
Huyo polis ni tapeli na mwongo kwa maneno hayo ya kuambiwa yamekuridhisha kuthibitisha?yatasemwa mengi sana mwisho wa siku ukweli utajulikana.
Siamini kama chama cha mapinduzi kinaweza kuua raia wake hizi ni hujuma tuu zinazofanyika.Mungu ibariki Tanzania.

Ninyi Waarusha ni wapumbavu mmedanganywa eti Arusha inachukuliwa na wageni mka side na mgombea mzawa eti ndiye ataleta mabadiliko. Kama umezaliwa juzi soma historia ya mameya waarusha na wamasai waliokuwa Arusha wameleta nini? Fungukeni acheni ujinga tumieni akili zenu na siyo za kuambiwa na ndo maana mnayumbishwa kila kono
 
Habari yenyewe inaletwa na Mungi, kweli unategemea ni nini zaidi ya propaganda za CDM. Halafu unakuta jamaa humu JF wanaamini kabisa .
 
Mkuu hili tukio halihitaji chembe ya siasa, subiri video iwekwe sote tutaiangalia.
Haihitaji elimu ya chuo kusema huu ni mpango mbaya wa serikali ya ccm wakiongozwa na mwigulu nchemba kupanga unyama hui
Mkuu Mungi tunataka kuona hii kitu,tunataka kuiona hii kitu!
 
Last edited by a moderator:
Dah....UMBEA!

Kama huwezi kungoja mpaka muweke hiyo video..kama huwezi kumtaja jina..go f******* yourself!
 
mkuu, pamoja na kuwa umeandika mambo mengi sana, ukweli ni kuwa huko ni kutapatapa tu. Ungekuwa muungwana kama ungetutajia jina la huyo askari vinginevyo huo ni umbea na uzushi.

haya matukio yanafanywa na ccm kwa support ya dora, vinginevyo kama ni nje ya hapo basi walioyafanya wangeli kamatwa tuu. Polisi yetu ina resourcefully people ambao wakiamrishwa kufanya kazi isingelichukua muda kuwakamata. Ukitaka jua kuwa ni kweli subiri uchungizi, atatafutwa boda boda au mchadema atabamikiwa kesi.
 
masai gel na wale wote mnaosema hizi ni habari za uzushi na ccm pamoja na serikali yake hawana mkono wao kwenye yaliyotokea Arusha jana, jikumbusheni yafuatayo:

Haya ni maneno ya kada wa CCM bwana Mtela Mwampamba kuhusiana na mchakato wa uchaguzi jijini Arusha;


"Tutaona, tuko Arusha kwa kazi maalumu kuhakikisha CCM ina shinda hata kama wananchi hawata tuchagua, na tutahakikisha wanaingia gharama kubwa ya kuishabikia CHADEMA."
 
Back
Top Bottom