Sidecorner
Member
- Jan 25, 2013
- 6
- 1
Aibu Na Hasira Ni Mkutano Wao Kuwa Na Watu 70
Mkuu hili tukio halihitaji chembe ya siasa, subiri video iwekwe sote tutaiangalia.
Haihitaji elimu ya chuo kusema huu ni mpango mbaya wa serikali ya ccm wakiongozwa na mwigulu nchemba kupanga unyama hui
mkuu, pamoja na kuwa umeandika mambo mengi sana, ukweli ni kuwa huko ni kutapatapa tu. ungekuwa muungwana kama ungetutajia jina la huyo askari vinginevyo huo ni umbea na uzushi.
Mkuu mie habari niliyopata kutoka kwa mtua aliekuwa karibu kabisa na tukio hilo kasema alimwona mtu alierusha bomu..na kumbe ni watu wengi walimwona wakaanza kumbiza...walipomkaribia polisi wakarusha bomu la machozi eneo lile!! basi yule mtu akatokomea..
Lakini wengine wanaenda mbali zaidi wanasema walimwona akipanda gari ya polisi!!! Hizi ni habari za mtu alikuwa eneo la tukio!!
Tunaka tume huru kuchunguza mambo haya!!
Kila Jambo linalosemwa na sisi Watz ni Uzushi na Uongo!
Kila Jambo linalosemwa na sisi Watz ni Uzushi na Uongo!
wewe nawe? Polisi wa Tanzania wajipeleleze wenyewe? Matukio mangapi ambayo wameshiriki yakiwemo ya akina Ulimboka, Kibanda, Mwangosi na mauaji ya kila siku kwenye mikutano ya CHADEMA na hawajikamati? Mimi nasema kama watanzania hatutaamua tu kuchukua hatua sasa ya kujilinda basi tusahau kama tuna ulinzi kwa sasa. Ni matukio kama haya ndiyo husababisha chama kuamua kuwa na vikosi vyake vya mapambano. Hivi ni nani anaweza kuendelea kuvumilia kufanya siasa za mashaka namna hii?Polisi wakusanye hizi taarifa zanaweza kusaidia katika upelelezi. Mungu tuepushie madhara mengine
Ni kweli kabisa, manake hata video inaonyesha baada ya kurusha bomu alikimbilia kwenye gari la polisi halafu likaondoka kwa kasi ya ajabu.
Video tutai upload muda si mrefu!
Ni hatari sana ccm kutumia isalama wa nchi kufanya ugaidi!
Hii damu itawalilia wao pamoja na wote wanaosapoti unyama huu!
Mark my words!
Kwanza wewe ni nani mpaka uthibitishe hii taarifa?,hakuna sosi na ilivyoandikwa ni kama vile ulikuwa umesimamiwa!!!!!!,maelezo ya kipuuzi hivi wapelekee wapuuzi wenzio bwana humu tunahitaji taarifa zilizokamilika.
Mwenyekiti wa CCM taifa yupo kama LIBERALI....!
Kama ni kusema tu, hata wewe mbona unasema hapa na kuna wengi tu hapa JF wamesema!!. Is that makes things TRUE?. YES, kama umebarikiwa upeo mdogo katika umbembuzi na uchambuzi wa mambo yanayohitaji fikra pana.Bado haufiri sawasawa kama ndivyo ulivyo pole sana..S..uala la bomu kutojulikana lilitoka wapi unalijibu kihuni hivi!
Then unasema mbinu zinafahamika baada ya kitendo kufanyika!! mara ngapi Kina Dr Slaa wamesema kuna kuna mbinu za kuua viongozi na kuihujumu CHADEMA?? Unachekea nini hapa!
Ila kama unafanya makusudi ole wako...siku zaja..
naml nakuunga mkono nimeambiwa maneno yanayoendana na hayo
Mkuu hili tukio halihitaji chembe ya siasa, subiri video iwekwe sote tutaiangalia.
Haihitaji elimu ya chuo kusema huu ni mpango mbaya wa serikali ya ccm wakiongozwa na mwigulu nchemba kupanga unyama hui
Mkuu Sheikh Ubwabwa.Hii inasikitisha sana.Wekeni Video ili watu tuamini bila doubt.Lakini ni ukweli ulio wazi sasa huyu kijana Mwigulu Nchemba ni hatari kwa usalama wa Taifa.
Mwenyekiti wa CCM taifa yupo kama LIBERALI....!