Tukio hili likikutokea utafanyaje huko mbugani?

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,896
TEMBO.jpg
 
Hapo dawa ni kutokea kioo cha nyuma na kutimua kwa sababu kinachofuata hapo ni pozi la kulala
 
Hapo hakuna ujanja zaidi ya kushuka na kutimua mbio tu!!.... manake inaelekea muda si mrefu atailalia kabisaaaa! manake tembo mwenyewe nahisi amevimbiwa hyo!!...
 
Back
Top Bottom