kwanza inavyoonekana huyu tembo anajikuna kwenye hilo gari so akisharudi kwanyuma ili ajikune tena ni kuingiza gia na kukanyaga mafuta kwenda mbele. Najua hataweza kunikimbiza na kunipata maana atabaki na mshangao tu hahahaha
Uzito wa tembo kuegemea gari maana yake milango haiwezi funguka, vinginevyo pasua kioo kujiokoa. Jambo jingine usipige honi maana utamkasirisha na hapao atalilakia na gari kubaki kubaki chapati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.