yani bado hujui?...si wanafanya biashara haramu pamoja "human trafficking..did i said drugs?...ohhh not drugs bana biashara haramu ya kusafirisha na kuwa-tanzaniisha wageni hasa wasomali..yap muulize masha kwanini huwa hawarudishi makwao wasomali...yesss..si waziri wa mambo ya ndani mwenye dhamana ya uhamiaji pia" ..pia jk domo zege so masha huwa anampigia mapande ya milupo hasa kila mara anapokuwa ameenda states ...ahahahaha...
maswahiba hawa banaaaa...ohhh pia nimesahau..si unajua masha huwa anamlipia karo mtoto wa jk anaitwa riz-1 kila anapoenda kusoma nje ya nchi...ahahaha... ohhh pia nimesahau "masha sindio kamuajiri mtoto wa jk hapo IMMMA...ndio dogo wa jk ni lawyer "mkusanya-vyeti" na asiye-practise....
YES I SAID IT kwani lini alishabeba hata file la kesi yoyote toka amalize college na kuliingiza hata kwa karani wa mahakama...ohhh sikuizi dogo anataka kuvaa viatu vya mzee wake..ahahahaah...like father like son...ndio mbona THE KENEDY family wapo hivyo...why not the JK family hapa kwetu
Hii imetulia mkuu,ila usimwambie mtu...jk anataka kuufanya mradi wa kifamilia kwa vile ni mradi wa muda mrefu sana so utaibeba familia sana tu.Ana nyaraka za Mradi (wa kifisadi) wa kutengeneza kinachoitwa vitambulisho vya uraia.
Ni dili ya JK, Masha and Sons.
Nimeshindwa kupata jibu, naomba wana JF mnisaidie ni kwa nini mheshimiwa JK alitaka Masha ashinde ubunge? Nguvu na ushawishi aliyotumia mheshimiwa JK kumnusuru Masha ni kubwa sana, nadhani amekuwa favoured ktk kumnadi Masha kuliko wagombea wote wa CCM.
Huyo ndo jakaya for you if you didnt know!Anakupa mkono wa kulia kama ishara ya amani huku mkono wa kushoto ameshika jambia!Na kwa taarifa yako kikwete anahusika sana,covertly and overtly, katika ubabaishaji huu unaoendelea wa tume ya uchaguzi!Na hata huko Mwanza alienda kurekebisha mambo ila nguvu ya umma ikamtisha maana anajua fika kuwa kwa hali ilivyo wananchi wengi wa nchi hii wameshachoshwa na inahitajika kibiriti tu ili kulipuka.Acheni uzandiki. Kikwete hahusiki na uhuni unaofanyika majimboni. Sanasana yeye ndiye imembidi aingilie kati katika baadhi ya majimbo kuwashinikiza wahuni wa huko koutangaza matokeo ya halali na kuwaonya kuwa hatambeba yeyote atakayechakachua.
Kuanzia Mwenyekiti wa CCM mpaka mwanachama wote WAHUNI. Kugawa rushwa kwa kampeni za kitanda kwa kitanda sio uhuni huo.
Mkuu, tunaheshimu mchango wako katika mengi, lakini katika hili unaongopa. Hivyo usitake kutafuta sympathy kwa kujifanya unabezwa. Some things are indefensible, you know that!!
Huyo ndo jakaya for you if you didnt know!Anakupa mkono wa kulia kama ishara ya amani huku mkono wa kushoto ameshika jambia!Na kwa taarifa yako kikwete anahusika sana,covertly and overtly, katika ubabaishaji huu unaoendelea wa tume ya uchaguzi!Na hata huko Mwanza alienda kurekebisha mambo ila nguvu ya umma ikamtisha maana anajua fika kuwa kwa hali ilivyo wananchi wengi wa nchi hii wameshachoshwa na inahitajika kibiriti tu ili kulipuka.
Wake up brother.
:israel:
"True freedom must be expressed through the human ability to think critically, to analyze and to make informed decisions about oneself, his society and the world "- Sidanganyiki2010
Waitara hakutakiwa kustaafu mapema vile......mungu wetu shuka tena kwa kweli
As you wish...I can't urge with people who have declared war on rationality......endeleeni na ujuaji wenu wa kila kitu hadi vilivyopo mioyoni mwa watu...