gambakuffu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2010
- 422
- 414
shella beach, kimara posta
Je mnaifahamu DMT iliyokuwa inasafari kati ya DAR na karibu mikoa yote.Baadae ikaja KAMATA. Kwa wale wa kanda ya ziwa mnaikumbuka Tanganyika Bus, African Bus,Musoma Bus, Ngoreme bus,united bus,Harub Nassoro, Rehemtulla n.k.ukikosa KAMATA la wiki ijayo, kakate RELWE la mwezi ujao. Safari Dar-Mbeya 2 days, kulala Iringa. Dah, acha tu.
The Big Mayai - Dar to Dom
Ilikuwa inatoka na kwenda wapi hiyo?Kamujingi jingi.
Habari za jioni wana jamvi...alhamisi ya leo tulivu ikiwa ndio hivyo inaelekea ukingoni nikaona sio vibaya tukikumbushana mabasi yaliyowahi kutamba enzi hizo....
mfano:-
SIRI YAKO
THE BIG MAYAI
ZAINABU
NJUWENI
CAT BUS
BIN CLEBO
KWACHA
SIMBA RUARA
HAYA WANA JAMVI NAWAKILISHA.