Tujadili fursa mifuko mbadala

Mr.genius

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
1,369
1,169
Ndo biashara ya sasa inayokiki mjini, baada ya kupigwa marufuku mifuko ya plastic, thread hii ni ya kutoa michongo / fursa namna gani unaweza piga pesa kwa kuikamatia hii fursa.
Mpaka sasa nmeona mifuko ya aina mbili kuu, hii ya kama materials za tissue na zile za karatasi za kaki.

Thread hii itakua special kujibu maswali ya wadau kuhusu biashara hii, maswali kama..
> Kwa wanaotaka kununua mifuko kwa bei ya Jumla na wao waende kuuza mzigo wanaweza kupata wapi na kwa bei gani?

> Kwa ile mifuko ya karatasi ya kaki nayo unaweza ukapata wapi? Je, inatengenezwaje? Kwa mashine maalumu au hata kwa mkono tu unaweza kuanzisha kiwanda? Na je materials znapatkana wapi na kwa bei gani?

Kama wewe ni muuzaji basi nafasi ndio hii, tangaza aina na size ya mifuko yako unayouza.
 
Hiyo sio furusa. Mzee hii si kila mtu anafanya au anajua nini kinaendelea? Walio ona furusa ni wale either waliwekeza mapema kwenye mifuko mbadala kabla hata 6a marufuku.

Ujasiriamali ni kuwa na uwezo wa Kupredict kesho, Ukiweza kupredict kesho itakuwaje basi wewe lazima uwe Tajiri kweli.

Sasa kazi ni hapo kwenye kupredict
 
Heshima yako mkuu, mjasiriamali kuweza ku predict the future ni jambo muhimu na nakubaliana nawe kabisa, lakini fursa ni fursa kwa wanaoiona hii kama ni fursa wa cha wachukue wasonge mbele. Shukrani kwa mawazo yako mkuu.
Hiyo sio furusa. Mzee hii si kila mtu anafanya au anajua nini kinaendelea? Walio ona furusa ni wale either waliwekeza mapema kwenye mifuko mbadala kabla hata 6a marufuku.

Ujasiriamali ni kuwa na uwezo wa Kupredict kesho, Ukiweza kupredict kesho itakuwaje basi wewe lazima uwe Tajiri kweli.

Sasa kazi ni hapo kwenye kupredict
 
Heshima yako mkuu, mjasiriamali kuweza ku predict the future ni jambo muhimu na nakubaliana nawe kabisa, lakini fursa ni fursa kwa wanaoiona hii kama ni fursa wa cha wachukue wasonge mbele. Shukrani kwa mawazo yako mkuu.
Kwa sasa sio furusa tena make kila mtu anafanya na baadae ikijaa sokoni utaona unaona watu hawapo tena.

Eneway sio mbaya
 
Kwa mahitaji ya mifuko ya khaki mahususi kwa wauza chipsi na maduka ya rejareja. Kwa mawasiliano 0763440714.
 
PATA MIFUKO KWA BEI NAFUU.(JUMLA)

Kama Utakuwa na uwezo wa kuchukua kiasi kikubwa(jumla) Kuanzia piece 30,000 kuendelea.
Mzigo unakuja ulipo, na tena ni Ile mifuko imara.
Mikubwa 260
Ya kati 210
Midogo. 160

Tunatengeneza kile kiwango kinachohitajika serikalini.
Mawasiliano:
0719820956 /0757757400 /0621116017
IMG-20190530-WA0011.jpeg
IMG-20190530-WA0012.jpeg
IMG-20190530-WA0013.jpeg
 
Back
Top Bottom