Wapingwe kwa nguvu zote,
Mikataba hii ni wajinga tu ndio wataikubali lakini watu weledi hawawezi kuikubali mikataba ya namna hiyo kamwe,
Kwa nguvu zote hoja tulishamaliza kutoa tena hoja za msingi kabisa,
Sasa ni muda wa kusimama na kuipinga serikali kwa ujumla wake.
Serikali hii imeshindwa kutuongoza kwa weledi hawafai kukalia nafasi za uongozi hata kwa sekunde moja,
Wanatakiwa kupingwa kwa nguvu zote.
Msikae kimya hawa hawana lengo zuri na nchi wanatamani kutuumiza sisi na kuumiza vizazi vijavyo,
TUWAPINGE KWA NGUVU ZOTE MAANA WAMESHINDWA KUTUONGOZA WALA TUSIWACHEKEE TENA HATA KWA DAKIKA MOJA.
Mikataba hii ni wajinga tu ndio wataikubali lakini watu weledi hawawezi kuikubali mikataba ya namna hiyo kamwe,
Kwa nguvu zote hoja tulishamaliza kutoa tena hoja za msingi kabisa,
Sasa ni muda wa kusimama na kuipinga serikali kwa ujumla wake.
Serikali hii imeshindwa kutuongoza kwa weledi hawafai kukalia nafasi za uongozi hata kwa sekunde moja,
Wanatakiwa kupingwa kwa nguvu zote.
Msikae kimya hawa hawana lengo zuri na nchi wanatamani kutuumiza sisi na kuumiza vizazi vijavyo,
TUWAPINGE KWA NGUVU ZOTE MAANA WAMESHINDWA KUTUONGOZA WALA TUSIWACHEKEE TENA HATA KWA DAKIKA MOJA.