FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Wengi wetu miaka 21 nyuma tarehe kama ya leo tunaikumbuka siku hiyo tukiwa na umri tofauti na majukumu tofauti. Wengi wengine walikuwa baddo hawajazaliwa au walikuwa wadogo sana kiasi hawajaelewa kilichotokea lakini leo hii hakiwaodoshei kutojuielewa siku hiyo.
Binfasi naikumbuka siku hiyo na nnakumbuka nilivyoganda kwenye kioo cha TV kutazama na kusikiliza kila details mara tu baada ya kupata habari:
Ni siku ambayo iliibadilisha historia ya dunia na siku ambayo ilimgusa kila mtu katika maisha yake.
Binafafsi siku hiyo ilinibadilishia sana maisha yangu, nnadiriki kusema ni siku iliyoniondowa ujanani na kuniingiza utu uzimani kifikra na kimaisha. Matokeo na matukio mengi baada ya siku hiyo yalibadilisha sana mtazamo wangu wa dunia, mwelekeo, malengo na hata maisha yangu ya kila siku yalibadilika ghafla siku hiyo.
Nashukuru AlhamduliLlah, mabadiliko hayo yalikuwa na matukio mengi ya kuhuzunusha na kusikitisha lakini kwa muda mrefu yalikuwa chanya "positive" kwa maisha niliyoishi kila siku baada ya tukio hilo.
Kama una picha, video, clip au chochote cha kuandika karibu sana kwenye kuikumbuka siku hii, muhimu kwa kila mwanadam.
Binfasi naikumbuka siku hiyo na nnakumbuka nilivyoganda kwenye kioo cha TV kutazama na kusikiliza kila details mara tu baada ya kupata habari:
Ni siku ambayo iliibadilisha historia ya dunia na siku ambayo ilimgusa kila mtu katika maisha yake.
Binafafsi siku hiyo ilinibadilishia sana maisha yangu, nnadiriki kusema ni siku iliyoniondowa ujanani na kuniingiza utu uzimani kifikra na kimaisha. Matokeo na matukio mengi baada ya siku hiyo yalibadilisha sana mtazamo wangu wa dunia, mwelekeo, malengo na hata maisha yangu ya kila siku yalibadilika ghafla siku hiyo.
Nashukuru AlhamduliLlah, mabadiliko hayo yalikuwa na matukio mengi ya kuhuzunusha na kusikitisha lakini kwa muda mrefu yalikuwa chanya "positive" kwa maisha niliyoishi kila siku baada ya tukio hilo.
Kama una picha, video, clip au chochote cha kuandika karibu sana kwenye kuikumbuka siku hii, muhimu kwa kila mwanadam.