GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,877
Aman iwe kwenu.
Naombeni wanajamvi kwa yeyote anayemfahamu mtu huyo hapo juu anieleweshe kwa namna anavyomfahamu.
Nikishamjua,nitaeleza hapahapa ni kwa nn nimeamua kuhitaji kumfaham.
Ahsanteni!!!
Nenda Facebook, Instagram na katika Twitter accounts zake amejianika vizuri tu na nadhani huko unaweza kuyapata mengi ya kumjua kuliko kuja kutusumbua humu Watu ambao sasa tunawaza Pembe za Faru John, Dangote, Wamachinga na kwanini Shamrashamra za Sherehe ya Uhuru za jana hazikufanikiwa ( namaanisha kuwa na mvuto na kuchangamka ) kama ilivyo kawaida.