Tuhuma nzito za Mange zisizo na ushahidi dhidi ya Rais, anafanya sawa?

Status
Not open for further replies.

Anonymous

Senior Member
Feb 3, 2006
125
320
Wakuu,

Kumekuwa na habari inayo-trend mitandaoni kuhusu Rais wa Jamhuri ya Tanzania, John Magufuli ikizingumzia kwa ujumla kwamba ni kiongozi katili.

Nikimnukuu mtumiaji maarufu wa Mtandao wa Instagram haswa anayejulikana kwa jila la Mange Kimambi, amesema:-

Mnakumbuka Mama Magufuli alipolazwa ghafla Muhimbili hapo juzi kati?

Ni kwamba alishushiwa kipigo cha mwizi toka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka akapoteza fahamu sababu mtoto hakwenda shule.

Aidha, Mange ameenda mbali zaidi na kudai kwamba yule binti wa Rais Magufuli aliyefariki alikufa baada ya kunywa sumu yote sababu ikiwa ni baba yake, kwa maneno mengine kwamba "aliuawa na baba yake".

VIDEO: Taarifa ya Kifo na mazishi ya marehemu Juliana J. Magufuli aliyefariki kwa ugonjwa wa Malaria




Mange katoka habari hizo kwa 'kujipongeza' kwamba hata Rais atampa saluti kwa ujasiri huu.

Wakuu, mna maoni gani juu ya hii habari?

Tukiacha suala la endapo hayo yaliyosemwa ni uzushi ama ukweli, mnalichukulia vipi suala la Rais kama taasisi kuzungumziwa hivyo tena na mwananchi wake?

Karibuni kwa mjadala..
 
Kiblog chake cha u-turn na ukurasa wake wa instragram amekuwa akipost na kudhalilisha watu kwa muda mrefu.

mwaka wa jana alikuja kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa jimbo la ubungo kupitia CCM na akakamatwa na jeshi la polisi kwa ciber crime. lakini kwa siasa siasa na kwa vile "anapigania chama dume akaachwa".

Wakati wa kampeni alimtukana sana Lowassa tena akamdhalilisha kwa kumwita "kaji.nyea".

Sasa amegeuka na kuvuka mpaka na kumtukana na kumdhalilisha rais Magufuli kuwa ni katili kamuua mwanae na anamtesa mke wake kwa kipigo. hizi ni tuhuma nzito ambazo mwenye akili timamu kwa mtu mwenye nafasi hata ya uDC tu hawezi fanya ujinga hue, sembuse rais wa nchi?

Tutafakari, Tusimpuuze huyu Mange kila wakati kuwa hana akili sawa sawa au anatafuta umaarufu. Akamatwe huko huko aliko hata kwa kuwatumia interpol.

Na dola ikipuuza, siku akitua Dar hata nipe Kibondo au nyasa au Bukoba nitahangaika nimdake peke yangu nimlete hapo central
 
Anavyoishi maisha yake binafsi nadhani ni binafsi, iwe kweli isiwe kweli, concern yetu ni jinsi anavyo run nchi, sio familia yake
Kama mke amepigwa, akamtembelea hospitali wakaombana msamaha yakaisha, sio business yetu hiyo

let Magufulis handle it
 
Mkuu mimi najiuliza, ikiwa kweli huyo dada ana ushahidi, inakuwaje? Watanzania tupo tayari kuujua ukweli wa hili suala au ni kheri lifukiwe haraka sana?

Sio sawa kabisa ni upuuzi na siasa za maji taka, wameona washamshindwa Rais wetu pendwa wameona sasa wamchafue kwenye angle nyingine.

WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA.
 
Hii ishu ni ya kuwa viewed in 3D na Sio kwa jicho la kawaida.

The good thing to do ni kukaa kimya kama huna ushahidi nalo na sio kutoa hukumu yako based on either side, since anayejua ukweli ni primary source na wewe utakuwa mchangiaji tuu asiyejua lolote about it.
 
Mkuu wewe ndiye umehukumu kabla ya kusoma. Hakuna hukumu imetolewa.

Mjadala hapa, ni sahihi Mange aliyoyasema dhidi ya rais bila kujalisha kama ni ukweli au uongo.

Jicho lako la 3D limeng'amua nini?

Hii ishu ni ya kuwa viewed in 3D na Sio kwa jicho la kawaida.

The good thing to do ni kukaa kimya kama huna ushahidi nalo na sio kutoa hukumu yako based on either side, since anayejua ukweli ni primary source na wewe utakuwa mchangiaji tuu asiyejua lolote about it.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom