Tufanye nini Kufikia Level za Kupata Medali kama Yanga?

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Ni vyema kufikia hatua za mwisho kabisa za kila shindano.

Kuishia katikati na kujipiga nafsi konde kumekuwa ndio mtindo wetu wa Maisha. Mimi kama Shabiki wa Simba naumia mno kwakweli.

Ifike hatua ukweli usemwe.

Kwanini kila mara robo robo robo robo...Hii inakela kwa kweli. Roho inaniuma hadi nakosa kula. Nakosa hata usingizi muda huu..

Kwanini timu Yangu simba inaniumiza hivi?

Basi kama inashindikana kwenye mashindano haya makubwa basi tujaribu kwenye shirikisho.

At least tukajitahidi.kule tukafikepo fainali ili kutupe confidence ya kuweza kuishinda laana ya robo fainali.

Inauma sana kusema kweli, Binafsi siwezi kuidanganya nafsi yangu na takwimu wala perfomance.

Kuna pahala viongozi wetu inabidi waangalie tunapokwama. Bila hivyo wale Yanga watakuja siku moja kufika fainali kwenye michuano mikubwa kabla yetu sisi, ikiwa ukweli ni kwamba sisi ndio tulio waonyesha njia.

Inakera, Inauma na Inaudhi kwa kweli.

Jamani viongozi wetu kama mpo humu mpitiepo kwenye comments za uzi huu ili mpate mawazi yatakayo tutoa kwenye laana ya robo fainali.

Wadau ambao mmeumizwa na karibuni kwa mawazo, Hopeful viongozi wataona na kufanyia kazi mawazo yetu kwa ujumla.
 
Mmevurugwa walai...wenye akili.

Huwezi waona wakihangaika hivi...wanajua Simba amefanya nini na kwa timu gani.

Thread kila dkk ni ishara ya mvurugo...
 
Ni vyema kufikia hatua za mwisho kabisa za kila shindano.

Kuishia katikati na kujipiga nafsi konde kumekuwa ndio mtindo wetu wa Maisha. Mimi kama Shabiki wa Simba naumia mno kwakweli.

Ifike hatua ukweli usemwe.

Kwanini kila mara robo robo robo robo...Hii inakela kwa kweli. Roho inaniuma hadi nakosa kula. Nakosa hata usingizi muda huu..

Kwanini timu Yangu simba inaniumiza hivi?

Basi kama inashindikana kwenye mashindano haya makubwa basi tujaribu kwenye shirikisho.

At least tukajitahidi.kule tukafikepo fainali ili kutupe confidence ya kuweza kuishinda laana ya robo fainali.

Inauma sana kusema kweli, Binafsi siwezi kuidanganya nafsi yangu na takwimu wala perfomance.

Kuna pahala viongozi wetu inabidi waangalie tunapokwama. Bila hivyo wale Yanga watakuja siku moja kufika fainali kwenye michuano mikubwa kabla yetu sisi, ikiwa ukweli ni kwamba sisi ndio tulio waonyesha njia.

Inakera, Inauma na Inaudhi kwa kweli.

Jamani viongozi wetu kama mpo humu mpitiepo kwenye comments za uzi huu ili mpate mawazi yatakayo tutoa kwenye laana ya robo fainali.

Wadau ambao mmeumizwa na karibuni kwa mawazo, Hopeful viongozi wataona na kufanyia kazi mawazo yetu kwa ujumla.
..
JamiiForums592774928.jpg
 
Aya mashindano hayana mambo yenu ya kipiuzi ya makosa ya kibinadamu.
Yaani kila mkicheza ligi lazima yatokee makosa ya kibinadamu, hamuwezi kupiga hatua kimataifa.
 
Mwanasimba huyu ndio anaejitambua mwenye uchungu wa mafanikio.
Ukiona timu yako inapambania medali badala ya kombe jua hio sio timu ni kikundi cha CHAKACHA au SINGELI.

NB:TIMU KUBWA ZINAZOJIELEWA KAMA SIMBA, AL AHLY, MAMELODI NA WYDAD hauwezi ukaona mashabiki au viongozi wake wakijisifia medali tena za kombe la LOOSERS.
Sasa kuchukua medali ni ishara kwamba umefika hatua nzuri kuliko kushangilia robo fainali kila kukicha...

Mimi.inaniuma kwa kweli kama mmeridhika na robo fainali mimi bado.

Naamini fainal success iwe kushiriki fainali. Hapo ndio unaweza kusema tumepambana.
 
Aya mashindano hayana mambo yenu ya kipiuzi ya makosa ya kibinadamu.
Yaani kila mkicheza ligi lazima yatokee makosa ya kibinadamu, hamuwezi kupiga hatua kimataifa.
Mm naona ya Ligikuu tuyaweke pembeni.

Unadhani ipi sababu hata tusiweze kusonga mbele zaidi ya hatua ya robo fainali kila mara tunapo shiriki michuano ya CAF..?

YANGA wametushinda nini ambacho sisi hatuna?

Nini kifanyike?
 
Sasa kuchukua medali ni ishara kwamba umefika hatua nzuri kuliko kushangilia robo fainali kila kukicha...

Mimi.inaniuma kwa kweli kama mmeridhika na robo fainali mimi bado.

Naamini fainal success iwe kushiriki fainali. Hapo ndio unaweza kusema tumepambana.
NARUDIA TENA DUNIANI HAKUNA TIMU INAYOJIELEWA INAYOSHANGILIA MEDALI sio MADRID WALA AL AHLY klabu zinazojielewa zote malengo yao ni kombe.
 
Ume andika hisia tu hapa za kishabiki na si kuuelezea mpira.
Mpira una hatua na hatua walio kuwa Simba sio mbaya kikubwa waongeze juhudi wahakikishe hawashuki hapo kwenye robo.
Vyenginevyo uwekezaji unahitajika na medali sio mafanikio kwa klabu ile ni kwa wachezaji tu, klabu mafanikio yake ni kubeba kombe.
 
Ni vyema kufikia hatua za mwisho kabisa za kila shindano.

Kuishia katikati na kujipiga nafsi konde kumekuwa ndio mtindo wetu wa Maisha. Mimi kama Shabiki wa Simba naumia mno kwakweli.

Ifike hatua ukweli usemwe.

Kwanini kila mara robo robo robo robo...Hii inakela kwa kweli. Roho inaniuma hadi nakosa kula. Nakosa hata usingizi muda huu..

Kwanini timu Yangu simba inaniumiza hivi?

Basi kama inashindikana kwenye mashindano haya makubwa basi tujaribu kwenye shirikisho.

At least tukajitahidi.kule tukafikepo fainali ili kutupe confidence ya kuweza kuishinda laana ya robo fainali.

Inauma sana kusema kweli, Binafsi siwezi kuidanganya nafsi yangu na takwimu wala perfomance.

Kuna pahala viongozi wetu inabidi waangalie tunapokwama. Bila hivyo wale Yanga watakuja siku moja kufika fainali kwenye michuano mikubwa kabla yetu sisi, ikiwa ukweli ni kwamba sisi ndio tulio waonyesha njia.

Inakera, Inauma na Inaudhi kwa kweli.

Jamani viongozi wetu kama mpo humu mpitiepo kwenye comments za uzi huu ili mpate mawazi yatakayo tutoa kwenye laana ya robo fainali.

Wadau ambao mmeumizwa na karibuni kwa mawazo, Hopeful viongozi wataona na kufanyia kazi mawazo yetu kwa ujumla.
Pole kwa kuumizwa na matokeo, turudi kwenye ukweli, hivi hizo medali zinawasaidia nini Yanga?
 
Ni vyema kufikia hatua za mwisho kabisa za kila shindano.

Kuishia katikati na kujipiga nafsi konde kumekuwa ndio mtindo wetu wa Maisha. Mimi kama Shabiki wa Simba naumia mno kwakweli.

Ifike hatua ukweli usemwe.

Kwanini kila mara robo robo robo robo...Hii inakela kwa kweli. Roho inaniuma hadi nakosa kula. Nakosa hata usingizi muda huu..

Kwanini timu Yangu simba inaniumiza hivi?

Basi kama inashindikana kwenye mashindano haya makubwa basi tujaribu kwenye shirikisho.

At least tukajitahidi.kule tukafikepo fainali ili kutupe confidence ya kuweza kuishinda laana ya robo fainali.

Inauma sana kusema kweli, Binafsi siwezi kuidanganya nafsi yangu na takwimu wala perfomance.

Kuna pahala viongozi wetu inabidi waangalie tunapokwama. Bila hivyo wale Yanga watakuja siku moja kufika fainali kwenye michuano mikubwa kabla yetu sisi, ikiwa ukweli ni kwamba sisi ndio tulio waonyesha njia.

Inakera, Inauma na Inaudhi kwa kweli.

Jamani viongozi wetu kama mpo humu mpitiepo kwenye comments za uzi huu ili mpate mawazi yatakayo tutoa kwenye laana ya robo fainali.

Wadau ambao mmeumizwa na karibuni kwa mawazo, Hopeful viongozi wataona na kufanyia kazi mawazo yetu kwa ujumla.
Una kitu
 
Kwanini kila mara robo robo robo robo...Hii inakela kwa kweli. Roho inaniuma hadi nakosa kula. Nakosa hata usingizi muda huu..
Kumbuka kwa mujibu wa Rais wa Yanga, Eng. Hersi, lengo la Yanga katika michuano ya CAF CL ni kufika hatua ya makundi, maana yake robo fainali kwao ni kina kirefu. Sasa tushangae watu wanaolenga kufika makundi CAF CL, na sio waliovuka na kufika robo fainali. Na katika AFL, tushangae ambao hawapo kabisa, badala ya kuwashangaa waliofika robo fainali
 
Huwa najiuliza sana sipati jibu. Hivi yanga wanapodai ana medali ina maana Simba 1993 hawakuvaa? Simba ni finalist 1993 na walivaa medali so issue ya medals sio kitu maana wote wamevaa. Issue hapa tutoke kwenye medals tuchukue kombe ila kuanzia mashabiki, viongozi kina Privaldinho wote wanashupaza shingo medali medali vitu vya ajabu kabisa
 
Back
Top Bottom