Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
katika hotuba ya utambulisho katibu wa shirikisho la wafanyakazi tanzania(TUCTA) ndg nicolous mgaya amesikika akitambua uwepo wa balozi wa denmark na akatambulisha kuwa denmark ni wafadhili wa shirikisho hilo.
hivi michango ya wafanyakazi inakwenda wapi na inafanya nini mpaka tuhitaji ufadhili?
hivi michango ya wafanyakazi inakwenda wapi na inafanya nini mpaka tuhitaji ufadhili?