Tuagize rais na mawaziri kutoka nje ya nchi?

Kama suluhisho la matatizo yeti ni kutoka nje kwa nini basi tusiende hadi mwisho wa hoja? Sijui watatoka nchi gani!

Mzee Mwanakijiji,

..nimeshtuka huenda umetutega kwa kitendawili hapa.

..hivi Hussein Mwinyi kuongoza wizara ya Tanganyika si sawa na kuteua waziri toka nje ya nchi??

..ingependeza kama ungeweka angalizo kwamba "nje ya nchi" unaaanisha nje ya mipaka ya Tanganyika na Zanzibar.
 
hapana tusiwasingizie wala kuwaonea waliotoa wazo, waliolipokea na Pinda anayelitangaza. Wenye matatizo ni sisi tunaowachekea wanatunyea na kutulisha mavi yao. Nani kawapa ruhusa ya kufanya upumbavu huu, watawalipa hela za nani ama ni hizo kodi zetu badala ya kuwalipa watoto wetu wawalipa wapenzi wao na kufanya vioja vyao? Yote hiyo ni kumbeba Hussein Mwinyi ambaye mpaka leo siijui anafanya nini humo ndani wakati hajajibu mambo ya mabomu ya mbagala wala gongolamboto, ndio tatizo ya serikali ya kubebana, hivi wananchi tutaoneysha lini kwamba serikali haina ubavu mbele yetu? hebu tutokeni barabarani tuwafukuze kwenye ofisin zenu mbwa hawa, the time is fine hawana support huku wanatembeza meli za Iran kwa kuingiza mifukoni mwao sisi bado tunawachekea tukijua wazi vita ikizuka tunakufa sisi na watoto wetu, let us fire them jamani sisi tuko tayari tuongozeni tukawatoe ikulu mbwa hawa
 
To the point! Bajeti hii hii (15trn) inatosha kulipia Rais na mawaziri wenye tija sana toka ulimwenguni.

Mikataba yao kama kawaida ni perfomance-basis, na evaluation twafanya wenyewe (wananchi) in a joint framework. I believe we similarly are desparate to get rid of that silly bunge altogether.

Mkuu MM it's unfortunate that currently the whim is mere wishes, BUT we certainly and absolutely need it.
 
naona sasa haya yamekuwa ni mashindano. Badala ya kusolve tatizo wanatumia fedha nyingi kuleta madaktari ili waonekane hawatishiwi. Too sad.......
mkuu ukikumbuka chanzo cha mgogoro huu yalikuwa ni madai ya mishahara ya intern dr.baada ya kucheleweshwa, baada ya selikakali kuwalipa ikawasimamisha kazi! Basi kilichofuata ni milolongo ya migomo tuuu, Selikali ili mishandle swala hili tangu mwanzo pale ilipofanya retaliation hasi kwa ma drs.
 
swali zuri sana natamani kiongozi yeyote aje hapa atujibu ili wagundue mawazo yao yalivyo feki
 
Kuwa na viongozi wa namna hii kuna uwezekano ni laana..nec ndo wametusababishia shida yote hii
 
..I think we r paying too much for this president.

..safari 3 za Raisi na ujumbe wake kwenda Brazil, Swiss,na Arusha zinagharimu 3 billion, which is close to 2.7 million us dolars.

..mimi nadhani tukimuomba Bill Clinton aje aendeshe nchi hii kwa kumuahidi malipa hayahaya anayopewa JK sidhani kama atakataa. tena naamini atakuja na wataalamu wake wengine kama Dr.Larry Summers, Denis Ross,James Rubin..
 
Nashindwa kuelewa viongozi wa nchi yangu niiepandayo na kauli zilizopitwa na wakati eti nchi ya Amani na rasilimali.Je kauli hizi zinamsaidia nin mTz wa kawaida.Vuta darubini hapa hayo mabilioni yatakayotumika kuleta hao Experts cingekuwa ni hatua ya kwanza kuweza kujadiliana na hawa Specialist wetu hapa?
 
Tuagize kabisa na wapiga kura wa kutoka nje, nina hakika hatawafanya huu upuuzi wa kuchagua dhaifu. !
 
What happened to Ujamaa na Kujitegemea?...

Hatujawahi kujitegemea hizo zilikuwa ni longolongo za kisiasa tu na ubabaishaji wa Nyerere...hata wakati wa heydays za Ujamaa na kujitegemea serikali yetu ilikuwa tegemezi by more than 50%, angalau sasa utegemezi umepungua ila bado ni tegemezi kwa kiasi kikubwa tu.
 
uzi wa kichochezi na kihaini. sasa kama madr wenu hawataki kukaa kitako na serikali ktk meza ya mazungumzo ili ku-negotiate na kucompromise mnataka serikali yetu tukufu ifanyeje? waambieni basi hao waliowatuma wawalipe madr ili tuamini kweli kuwa wana nia njema na taifa hili.
 
..I think we r paying too much for this president.

..safari 3 za Raisi na ujumbe wake kwenda Brazil, Swiss,na Arusha zinagharimu 3 billion, which is close to 2.7 million us dolars.

..mimi nadhani tukimuomba Bill Clinton aje aendeshe nchi hii kwa kumuahidi malipa hayahaya anayopewa JK sidhani kama atakataa. tena naamini atakuja na wataalamu wake wengine kama Dr.Larry Summers, Denis Ross,James Rubin..

kwenye ulinzi tumpate mzee donald Ramsfield, BOT tumpe allan greenspan, nafasi ya mwamunyange apatiwe Colin powel. hapo vipi!!!
 
Dawa hapa ni kupambana na kikwete ana kwa ana. Yeye katudharau sie tuliomchagua madarakani na kuondoka hataki. Kilichobaki hapa ni kila mwananchi anunue ndoo ya mawe na kumtupia kikwete kila aonekanapo. Anatutia kichefuchefu. Najitoa muanga, nitakaa pale nje ya ikulu na ndoo zangu mbili za mawe kumsubiria. Huyu mtu lazima atoke madarakani.
 
Back
Top Bottom