Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kama suluhisho la matatizo yeti ni kutoka nje kwa nini basi tusiende hadi mwisho wa hoja? Sijui watatoka nchi gani!
Kama suluhisho la matatizo yeti ni kutoka nje kwa nini basi tusiende hadi mwisho wa hoja? Sijui watatoka nchi gani!
kama suluhisho la matatizo yeti ni kutoka nje kwa nini basi tusiende hadi mwisho wa hoja? Sijui watatoka nchi gani!
Aliyetuloga katuloga vibaya!
bora nchi iuzwe kila mtu apewe chake
Naikumbuka ile hadithi yako Mwanakijiji ya Clowns' Paradise! Viongozi wote ni clowns, tunaumia, lakini wao wako mchezoni!
Kama suluhisho la matatizo yeti ni kutoka nje kwa nini basi tusiende hadi mwisho wa hoja? Sijui watatoka nchi gani!
naona sasa haya yamekuwa ni mashindano. Badala ya kusolve tatizo wanatumia fedha nyingi kuleta madaktari ili waonekane hawatishiwi. Too sad.......
Kama suluhisho la matatizo yeti ni kutoka nje kwa nini basi tusiende hadi mwisho wa hoja? Sijui watatoka nchi gani!
Kama suluhisho la matatizo yeti ni kutoka nje kwa nini basi tusiende hadi mwisho wa hoja? Sijui watatoka nchi gani!
Naikumbuka ile hadithi yako Mwanakijiji ya Clowns' Paradise! Viongozi wote ni clowns, tunaumia, lakini wao wako mchezoni!
.bora nchi iuzwe kila mtu apewe chake
..tumeshawahi kuwa na Mawaziri, Jaji Mkuu,DPP, toka nje.
..majuzi, wakati wa awamu ya Raisi Mkapa, CEO wa Tanroads alikuwa raia wa Ghana.
Tuna rais wa namna gani asiyeweza kufikiri na kufanya maamuzi yenye maana kwa watu wake, kila siku washauri wake wanamshauri vibaya. Nadhani tatizo liko kwa rais mwenyewe, kwa hapa nchi ilipofikia namuunga mkono MM kuwa chanzo cha yote haya ni rais, nadhani tuagize rais kwanza kutoka nje.Haya ni matatizo ya ushabiki usio na tija.
N a ubinafsi usio namaana , waliotoa wazo la kuagiza madr nje hawana nia nzuri na Rais wao na pia hawana nia nzuri na wa TZ, vidola vichache tulivyo navyo badala ya kuagiza madawa na machine za hospiatal tunaanza kuzirudisha huko huko.
Taifa langu changa lenye miaka 50 tu na viongozi wa changa wa maamuzi
naona sasa haya yamekuwa ni mashindano. Badala ya kusolve tatizo wanatumia fedha nyingi kuleta madaktari ili waonekane hawatishiwi. Too sad.......