Tuagize rais na mawaziri kutoka nje ya nchi?

Ila hatujawahi kuwa na rais kutoka nje atakayefanya kazi kwa mkataba wa miaka kadhaa kama yule jamaa wa Tanroads wakati wa Mkapa.Hii itakuwa kali ya mwaka

Ndahani,

..hilo la Raisi ni gumu zaidi.

..ndiyo maana mimi nikapendekeza kwa nafasi nyeti kama Gavana wa Benki Kuu, Jaji Mkuu, DPP, mtendaji mkuu TRA, mtendaji mkuu Ewura, VC wa vyuo vikuu, etc etc ni bora tuwe na wataalamu toka nje kwasababu wa-Tanzania wamezidi wizi.
 
..tumeshawahi kuwa na Mawaziri, Jaji Mkuu,DPP, toka nje.

..majuzi, wakati wa awamu ya Raisi Mkapa, CEO wa Tanroads alikuwa raia wa Ghana.

Mmesahau menejimenti ya TAANESICO NA DAAWASICO nao walitoka nje wakachooota until waliposhiba na kuzidiwa ndio...
Lile darasa lililetwa na ndgu ANBEN kwakuwa alisema "...kwenye nyanja zote tunao wataalam na tumeweza kasoro ....."
 
kuagiza madaktari ni kukosa busara ya kawaida. Tatizo liliopo lina solvi-ka kwa busara ya kawaida mno. Lakini mie kwa kweli huwa nawashangaa wanaosema elimu waliyosoma miaka hiyo iikuwa bora.
 
Kama suluhisho la matatizo yeti ni kutoka nje kwa nini basi tusiende hadi mwisho wa hoja? Sijui watatoka nchi gani!

Binafsi najiuliza huu uamuzi ndo wa kuonyeshana ubabe au ndo wa Liwalo na Liwe? Kwa jinsi nilivyoelewa madai ya madaktari sio mshahara tu, kuna vifaa na madawa. Sasa hawa wa nje watakuja na vifaa na madawa? Kazi ipo.
 
Mmesahau menejimenti ya TAANESICO NA DAAWASICO nao walitoka nje wakachooota until waliposhiba na kuzidiwa ndio...
Lile darasa lililetwa na ndgu ANBEN kwakuwa alisema "...kwenye nyanja zote tunao wataalam na tumeweza kasoro ....."

Eucalyptos,

..hao walikuja kama kampuni, sisi tunapendekeza waje kama wataalamu mmoja mmoja.

..halafu usifikiri kwamba inashindikana kuwalipa. Wabunge wa Tanzania at the end of the year wanachukua kitita kikubwa kuliko Wabunge wa Marekani.
 
Eucalyptos,

..hao walikuja kama kampuni, sisi tunapendekeza waje kama wataalamu mmoja mmoja.

..halafu usifikiri kwamba inashindikana kuwalipa. Wabunge wa Tanzania at the end of the year wanachukua kitita kikubwa kuliko Wabunge wa Marekani.

Itakuwa heri sana
Maana nimetuma kitu changu kupitia uwanja wa ndege lakini kukipata kitu changu mwenyewe, niliyekituma mwenyewe imenibidi nitoe rushwa.
 
MMJ

I concurr with your proposal, tuanzie na kuagiza Rais pamoja na Waziri Mkuu, tupatiwe na governor wa Benki Kuu kutoka USA, na kwa kuwa Watz bei zinapangwa kwa Dola za Kimarekani basi tuikatae Shilling kama legal tender tutumie Dola yaani we acha tu huna haja ya kuumwa na kichwa kubadilisha fedha, mambo mdundo!
Yawezekana manake tunafanya biashara ya bendera sasa hivi kama wakandarasi wanavyouza mabango site
 
Kila kunapokucha nazidi kuiamini kauli ya Mnyika kuwa serikali yetu na raisi ni "DHAIFU". Mwanzoni ilinipa tatizo kuiamini, ila kwa sasa naiamini mno, Mnyika was "right" at 100%. Wadau kweli nani alitulogea viongozi wetu!!?? Naomba wananchi tubadilike kwenye box la kura. Hizi ng'ombe tunazowapa uongozi ni bure kabisa. Hili wazo la kuagiza madr eti wanawakomoa hawa wetu.

Swali: Kama wameweza kuamua ghafla kupata 200bl kwa ajili ya kuagiza madaktari, kwa nini wasingetumia hiyo hela kutatua madai ya madr wetu.?? Wangeboresha basi hata huduma. Je hao wanaokuja wanakuja kufanya kazi mazingira mengine au ni haya haya ambayo yamewashinda madr wetu?? Hapa kweli naungana tena Mh. Peter Msigwa kuwa "akili ndogo inaongoza akili kubwa". Yaani hilo baraza la mawaziri ni sawa na wahuni waliopata zero form four wakapewa ulaji na sio kutuongoza!! Hakuna ku reason kabisa. Maamuzi ya kipuuzi huwezi amini ndo tuliowapa mamlaka ya kutuongoza! Kwa hali hii naungana na MM kuwa tuagize viongozi kutoka nje tujue hatuwezi kujitawala wenyewe. Hata kama watatupeleka kama ilivyokuwa zama za ukoloni hakuna shida kuliko kuendelea kutawaliwa na haya mafisadi!!
 
Recruitment procedure kawaida ni cumbersome kweli, kwa hili lets bypass the rules and procedures turudi kwenye basic uswahilii,yes utu wetu, karibu Ndugu Kagame.
 
loading.......
Jinsi tulivyo na serikali kiziwi kwa masuala ya maendeleo na sikivu kwa ishu za kuponda matumizi kwa saaaana..
Hiiii ya kuagiza rais na waziri mkuu toka nje nimeipenda aiseeeee laiti ingekuwa mjengo now ungekuwa ulishapigwa ban kama mnyika Mzee Mwanakijiji
 
Last edited by a moderator:
Tuwachukue wairani na ni lazima baba fulani atapendekeza watoke huko
 
Mzee Mwanakijiji,

Nakubaliana nawe kwenye hoja yako! Wenzetu wanasema Charity begins at home. Kwanini tusianze na kuagiza WAZAZI kutoka nje, ili liwe suluhisho la kudumu:) kwani hawa viongozi tumewapata kwa wazazi tulionao. Tuanzie hapo:)
 
Hii serikali kama wanaoingoza sio vichaa wastaafu, basi watakuwa ni mataahira.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
 
Back
Top Bottom