Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Kwa hio shirika linajenga nyumba kwa watu "MATAJIRI"
Asilimia 95 ya watanzania ni MASIKINI
Hizo nyumba zina Umuhimu gani kwa wananchi?
Halafu...Mchechu aliomba jkazi NHC sema alibebwa na Luhanjo...sio kwamba alifuatwa
CBA Bank ndipo alipotoka....CBA bank haijawahi kuwa na mradi wa kujenga Nyumba
Come to Basics....Huwezi kulipa wakurugenzi mashahara zaidi ya Rais...Never.....Sio kwenye Public sector
Asilimia 95 ya watanzania ni MASIKINI
Hizo nyumba zina Umuhimu gani kwa wananchi?
Halafu...Mchechu aliomba jkazi NHC sema alibebwa na Luhanjo...sio kwamba alifuatwa
CBA Bank ndipo alipotoka....CBA bank haijawahi kuwa na mradi wa kujenga Nyumba
Come to Basics....Huwezi kulipa wakurugenzi mashahara zaidi ya Rais...Never.....Sio kwenye Public sector