Mkurugenzi na Madiwani jiji wanaharibu Arusha School

12STONE

JF-Expert Member
Mar 16, 2013
1,184
398
Nimekutana na MZAZI mmoja anaongea kwa kuonyesha uchungu na HUZUNI kubwa kwa Yale yanayowakabili Wazazi walio na Watoto wenye kusoma shule hii kongwa ya enzi za mkoloni.

Tangu mwaka Jana 2023 MKURUGENZI NA BARAZA LA MADIWANI walikuja na mpaka mpya wa kupanda gharama za kusomesha Watoto katika shule hio inayoendeshwa kwa kutegemea Wazazi walipe ADA kwa Watoto wao wanaosoma hapo.

Kwa Watoto wa kutwa ADA kwa mwaka pamoja na CHAKULA Ni Tshs.830,000/= na Bweni ADA Ni zaidi ya Tshs.1,500,000/= kwa gharama za Sasa zenye kulazimishwa na Mkurugenzi na hao MADIWANI bila Mkurugenzi na MADIWANI hao kufanya kikao chochote na Wazazi wote.

Shida kubwa inatokana na shule hii kuondolewa kwenye SERIKALI KUU na kuachwa iwe chini ya Manispaa ya JIJI la ARUSHA.

Kinyume na matarajia Tena bila makubalino na Wazazi husika wenye Watoto shuleni hapo...Mamilioni hayo ya FEDHA yanaenda MOJA kwa MOJA Manispaa ya JIJI badala ya kuachwa zibaki kwenye akaunti ya shule ili zitumike ziendlesha shule hio TU.

Taarifa zinasema, Baada ya FEDHA zitapelekwa kuanza ujenzi wa shule nyingine Mpya yenye mfumo huo wa Kufundisha kwa Kiingereza bila idhini lenye kutokana na kikao pamoja na Wazazi wa Arusha school.

Kwa taarifa zilizopo Wazazi waliomba kikao na MKURUGENZI wa JIJI Hilo la Arusha amegoma kabisa KUFIKA na kuwasikiliza Wazazi na Wazazi wamsikilize yeye Kisha kuwe na maamuzi mazuri ya pamoja.

Badala yake Sasa wamtumia Mkuu wa shule niliyejulishwa kuwa anaitwa HASHIMU NJAU kutoa vimemo vya kuwalazimisha Wazazi walipe ONGEZEKO LA GHARAMA HIZO ZA KUSOMESHA MTOTO.Wakati naongea na MZAZI huyo aliniambia bila kujua habari hizi zitatoka heawani...Aliniambia Wameambiwa kwa vimemo kesho Tarehe 15/2/2024 kwa MWANAFUNZI WA DAY (Kutwa) na BWENI LAZIMA walipe FEDHA hizo kwa amri hio ya Mkurugenzi zaidi ya hapo hakuna mtoto atakayeruhusiwa kuingia DARASANI kesho.

MZAZI anasema,tumezoea kulipa ADA kwa mwaka 570,000/= kutwa na inatosha kabisa,Sasa mabadiliko haya yanayofanywa bila WAZAZI kuKkubali tunajemga ama tunabomoa?

Tunasikia wanasema zinatafutwa pesa uchaguzi 2024 na 2025 wamekosa pakuzipatia pesa za kampeni mpaka Wazazi wanyonge wanajitahidi kusomesha Watoto tuwaacjie hata urithi wa Elimu TUKAMULIWE MPAKA DAMU?

Mkuu wa Wilaya na Mkoa nasikia wanalijua suala hili,Wamesaidiaje mpaka Sasa?

Waziri Elimu inasemekana pia kilio hiki kimemfikia iwe rasmi au kwa kutonywa Wasije subiri WAZAZI Wakajazana Getini wakiimba TUNAMTAKA MKURUGENZI×20 kwa siku mzima au HATUTAKI ADA KUPANDA×200 kwa kutwa nzima hapo Getini.

Jamani Mjumbe hauawi, penye Moshi Kuna Moto ..ARUSHA SCHOOL hapo Karibu na mkabala na Tanesco Sasa kunafukuta tusisubiri mengineyo maana Kikao Cha Mkuu wa shule na Wazazi WAZAZI WALIKUWA WANAZOMEA NANKUPIGA MAKELELE MNO...Alisema mzazi .

Nami nashauri JICHO LA TATU LICHUNGULIE Ikiwezekana shule hio irudishwe SERIKALI KUU maana kwa Sasa inayumbishwa ovyo na wanasiasa.

Asanteni!

IMG_20240108_083906_895.jpg
 
Mbona michango shule za Kata ni kubwa marafufu ya hiyo Ada ya Arusha school? International gani hiyo? Acheni siasa nyie wazazi. Kama vipi wahamisheni watoto wenu wapelekeni Braeburn ambapo Ada ni nafuu sana😡
 
Nimekutana na MZAZI mmoja anaongea kwa kuonyesha uchungu na HUZUNI kubwa kwa Yale yanayowakabili Wazazi walio na Watoto wenye kusoma shule hii kongwa ya enzi za mkoloni.

Tangu mwaka Jana 2023 MKURUGENZI NA BARAZA LA MADIWANI walikuja na mpaka mpya wa kupanda gharama za kusomesha Watoto katika shule hio inayoendeshwa kwa kutegemea Wazazi walipe ADA kwa Watoto wao wanaosoma hapo.

Kwa Watoto wa kutwa ADA kwa mwaka pamoja na CHAKULA Ni Tshs.830,000/= na Bweni ADA Ni zaidi ya Tshs.1,500,000/= kwa gharama za Sasa zenye kulazimishwa na Mkurugenzi na hao MADIWANI bila Mkurugenzi na MADIWANI hao kufanya kikao chochote na Wazazi wote.


Shida kubwa inatokana na shule hii kuondolewa kwenye SERIKALI KUU na kuachwa iwe chini ya Manispaa ya JIJI la ARUSHA.

Kinyume na matarajia Tena bila makubalino na Wazazi husika wenye Watoto shuleni hapo...Mamilioni hayo ya FEDHA yanaenda MOJA kwa MOJA Manispaa ya JIJI badala ya kuachwa zibaki kwenye akaunti ya shule ili zitumike ziendlesha shule hio TU.

Taarifa zinasema, Baada ya FEDHA zitapelekwa kuanza ujenzi wa shule nyingine Mpya yenye mfumo huo wa Kufundisha kwa Kiingereza bila idhini lenye kutokana na kikao pamoja na Wazazi wa Arusha school.

Kwa taarifa zilizopo Wazazi waliomba kikao na MKURUGENZI wa JIJI Hilo la Arusha amegoma kabisa KUFIKA na kuwasikiliza Wazazi na Wazazi wamsikilize yeye Kisha kuwe na maamuzi mazuri ya pamoja.

Badala yake Sasa wamtumia Mkuu wa shule niliyejulishwa kuwa anaitwa HASHIMU NJAU kutoa vimemo vya kuwalazimisha Wazazi walipe ONGEZEKO LA GHARAMA HIZO ZA KUSOMESHA MTOTO.Wakati naongea na MZAZI huyo aliniambia bila kujua habari hizi zitatoka heawani...Aliniambia Wameambiwa kwa vimemo kesho Tarehe 15/2/2024 kwa MWANAFUNZI WA DAY (Kutwa) na BWENI LAZIMA walipe FEDHA hizo kwa amri hio ya Mkurugenzi zaidi ya hapo hakuna mtoto atakayeruhusiwa kuingia DARASANI kesho.

MZAZI anasema,tumezoea kulipa ADA kwa mwaka 570,000/= kutwa na inatosha kabisa,Sasa mabadiliko haya yanayofanywa bila WAZAZI kuKkubali tunajemga ama tunabomoa?


Tunasikia wanasema zinatafutwa pesa uchaguzi 2024 na 2025 wamekosa pakuzipatia pesa za kampeni mpaka Wazazi wanyonge wanajitahidi kusomesha Watoto tuwaacjie hata urithi wa Elimu TUKAMULIWE MPAKA DAMU?

Mkuu wa Wilaya na Mkoa nasikia wanalijua suala hili,Wamesaidiaje mpaka Sasa?


Waziri Elimu inasemekana pia kilio hiki kimemfikia iwe rasmi au kwa kutonywa Wasije subiri WAZAZI Wakajazana Getini wakiimba TUNAMTAKA MKURUGENZI×20 kwa siku mzima au HATUTAKI ADA KUPANDA×200 kwa kutwa nzima hapo Getini.


Jamani Mjumbe hauawi, penye Moshi Kuna Moto ..ARUSHA SCHOOL hapo Karibu na mkabala na Tanesco Sasa kunafukuta tusisubiri mengineyo maana Kikao Cha Mkuu wa shule na Wazazi WAZAZI WALIKUWA WANAZOMEA NANKUPIGA MAKELELE MNO...Alisema mzazi .


Nami nashauri JICHO LA TATU LICHUNGULIE Ikiwezekana shule hio irudishwe SERIKALI KUU maana kwa Sasa inayumbishwa ovyo na wanasiasa.

Asanteni!







View attachment 2904038
Ikiwa unaona elimu ni mali basi jaribu ujinga!! Wenzenu wanalipa mil 48 huko nyie mnalia lia?

Pelekeni kata si bure? Shwaini kabisa mtu mweusi.
 
Ikiwa unaona elimu ni mali basi jaribu ujinga!! Wenzenu wanalipa mil 48 huko nyie mnalia lia?

Pelekeni kata si bure? Shwaini kabisa mtu mweusi.
Wazazi wanalalamika:-
1).FEDHA zinapelekwa kujenga shule nyingine wakati shule yenyewe Ina mapungufu ya madarasa.
Ni bora FEDHA hio inayongezewa itumike kuongeza madarasa ya pale Pale Arusha school.
 
Hii shule inafaa kuwa chini ya Alumni ( as an NGO or Trust) sio Serikali

Serikali imeshindwa kusimamia shule kwa sababu wanaiweka daraja sawa na shule za kata. Hii inasaidia shule binafsi kibiashara so huenda kuna watu wananufaika shule inapochakazwa na kuharibiwa
 
Hii shule inafaa kuwa chini ya Alumni ( as an NGO or Trust) sio Serikali

Serikali imeshindwa kusimamia shule kwa sababu wanaiweka daraja sawa na shule za kata. Hii inasaidia shule binafsi kibiashara so huenda kuna watu wananufaika shule inapochakazwa na kuharibiwa
Mkuu shule hii inachakazwa na akina nani?
 
Wazazi wanalalamika:-
1).FEDHA zinapelekwa kujenga shule nyingine wakati shule yenyewe Ina mapungufu ya madarasa.
Ni bora FEDHA hio inayongezewa itumike kuongeza madarasa ya pale Pale Arusha school.
Si itakuwa ya mfumo Sawa na Arusha School, na Nia si kuongeza nafasi zaidi za madarasa na wanafunzi ., au labda ulete pendekezo hiyo hapo ivunjwe ijengwe ya ghorofa.
 
Dah! Arusha school.
Shule yangu ya enzi hizo.
Kuna yule Kobe, mpaka leo hii nasikia bado anasoma pale, na amegoma kuhitimu, zaidi ya miaka 50 yupo hapo hapo.
Kobe wa miaka 50 bado ni mtoto. Hawa viumbe huishi more than 300!
 
Nimekutana na MZAZI mmoja anaongea kwa kuonyesha uchungu na HUZUNI kubwa kwa Yale yanayowakabili Wazazi walio na Watoto wenye kusoma shule hii kongwa ya enzi za mkoloni.

Tangu mwaka Jana 2023 MKURUGENZI NA BARAZA LA MADIWANI walikuja na mpaka mpya wa kupanda gharama za kusomesha Watoto katika shule hio inayoendeshwa kwa kutegemea Wazazi walipe ADA kwa Watoto wao wanaosoma hapo.

Kwa Watoto wa kutwa ADA kwa mwaka pamoja na CHAKULA Ni Tshs.830,000/= na Bweni ADA Ni zaidi ya Tshs.1,500,000/= kwa gharama za Sasa zenye kulazimishwa na Mkurugenzi na hao MADIWANI bila Mkurugenzi na MADIWANI hao kufanya kikao chochote na Wazazi wote.

Shida kubwa inatokana na shule hii kuondolewa kwenye SERIKALI KUU na kuachwa iwe chini ya Manispaa ya JIJI la ARUSHA.

Kinyume na matarajia Tena bila makubalino na Wazazi husika wenye Watoto shuleni hapo...Mamilioni hayo ya FEDHA yanaenda MOJA kwa MOJA Manispaa ya JIJI badala ya kuachwa zibaki kwenye akaunti ya shule ili zitumike ziendlesha shule hio TU.

Taarifa zinasema, Baada ya FEDHA zitapelekwa kuanza ujenzi wa shule nyingine Mpya yenye mfumo huo wa Kufundisha kwa Kiingereza bila idhini lenye kutokana na kikao pamoja na Wazazi wa Arusha school.

Kwa taarifa zilizopo Wazazi waliomba kikao na MKURUGENZI wa JIJI Hilo la Arusha amegoma kabisa KUFIKA na kuwasikiliza Wazazi na Wazazi wamsikilize yeye Kisha kuwe na maamuzi mazuri ya pamoja.

Badala yake Sasa wamtumia Mkuu wa shule niliyejulishwa kuwa anaitwa HASHIMU NJAU kutoa vimemo vya kuwalazimisha Wazazi walipe ONGEZEKO LA GHARAMA HIZO ZA KUSOMESHA MTOTO.Wakati naongea na MZAZI huyo aliniambia bila kujua habari hizi zitatoka heawani...Aliniambia Wameambiwa kwa vimemo kesho Tarehe 15/2/2024 kwa MWANAFUNZI WA DAY (Kutwa) na BWENI LAZIMA walipe FEDHA hizo kwa amri hio ya Mkurugenzi zaidi ya hapo hakuna mtoto atakayeruhusiwa kuingia DARASANI kesho.

MZAZI anasema,tumezoea kulipa ADA kwa mwaka 570,000/= kutwa na inatosha kabisa,Sasa mabadiliko haya yanayofanywa bila WAZAZI kuKkubali tunajemga ama tunabomoa?

Tunasikia wanasema zinatafutwa pesa uchaguzi 2024 na 2025 wamekosa pakuzipatia pesa za kampeni mpaka Wazazi wanyonge wanajitahidi kusomesha Watoto tuwaacjie hata urithi wa Elimu TUKAMULIWE MPAKA DAMU?

Mkuu wa Wilaya na Mkoa nasikia wanalijua suala hili,Wamesaidiaje mpaka Sasa?

Waziri Elimu inasemekana pia kilio hiki kimemfikia iwe rasmi au kwa kutonywa Wasije subiri WAZAZI Wakajazana Getini wakiimba TUNAMTAKA MKURUGENZI×20 kwa siku mzima au HATUTAKI ADA KUPANDA×200 kwa kutwa nzima hapo Getini.

Jamani Mjumbe hauawi, penye Moshi Kuna Moto ..ARUSHA SCHOOL hapo Karibu na mkabala na Tanesco Sasa kunafukuta tusisubiri mengineyo maana Kikao Cha Mkuu wa shule na Wazazi WAZAZI WALIKUWA WANAZOMEA NANKUPIGA MAKELELE MNO...Alisema mzazi .

Nami nashauri JICHO LA TATU LICHUNGULIE Ikiwezekana shule hio irudishwe SERIKALI KUU maana kwa Sasa inayumbishwa ovyo na wanasiasa.

Asanteni!

View attachment 2904038
Kama hauna pesa mtoe mtoto hapo acha kulialia hapa.
 
Mkuu hiyo shule nyingine inayojengwa ni ya serikali au mtu binafsi?
Ya serikali,
ajabu wanalazimishia Wazazi wa Arusha school kupitia kupanda gharama hizo wapate fungu la kujenga shule nyingine yenye mfumo huo wakiingereza.

Kwanini MAMA SAMIA Rais asitoe pesa za kujenga shule hio wakati tunaona Kuna sehemu akatoa FEDHA za kujenga shule.

Kuna uwezekano MKUBWA shule inageuzwa kuwa ya kupiga madili.
 
Kama hauna pesa mtoe mtoto hapo acha kulialia hapa.
Kwa utaratibu Mambo mema na mepesi au magumu yanapikwa au kuandaliwa na kikao Cha mwisho Cha Wazazi kuamua Nini kipitishwe kwa Sasa.

Ni makosa Mambo Kuanzia kwa MKURUGENZI wa JIJI na MADIWANI Yaje kwa mtimdo wa kulazimishwa YAPTE BILA KUWA NA KIKAO CHA WAZAZI WENYE KUTOA RIDHAA YAO.

Shida sio pesa maana Kuna Wazazi Wana Watoto Tayari wako DARASA LA 5, 6 na 7 miaka yote Kuanzia DARASA la KWANZA - hakushindwa kuwalipia.

Tatizo hiki kinacholazimishwa kikubaliwe na WAZAZI Hakijapitishwa kwa utaratibu wa vikao stahili vya viongozi na Wazazi wote wa Arusha school.

Mwisho Wazazi wamemhitaji Mkurugenzi sio Mara MOJA sio Mara mbili amegoma KUFIKA kuwasikiliza WAZAZI.

Kaa ukijua shida sio KUKOSA PESA Wala shida sio WAZAZI WENYEWE,SHIDA NI UONGIZI WANAFANYA UBABE Kuoitisha Jambo pasipo kikao na WAZAZI hao wa Arusha school.
 
Nimekutana na MZAZI mmoja anaongea kwa kuonyesha uchungu na HUZUNI kubwa kwa Yale yanayowakabili Wazazi walio na Watoto wenye kusoma shule hii kongwa ya enzi za mkoloni.

Tangu mwaka Jana 2023 MKURUGENZI NA BARAZA LA MADIWANI walikuja na mpaka mpya wa kupanda gharama za kusomesha Watoto katika shule hio inayoendeshwa kwa kutegemea Wazazi walipe ADA kwa Watoto wao wanaosoma hapo.

Kwa Watoto wa kutwa ADA kwa mwaka pamoja na CHAKULA Ni Tshs.830,000/= na Bweni ADA Ni zaidi ya Tshs.1,500,000/= kwa gharama za Sasa zenye kulazimishwa na Mkurugenzi na hao MADIWANI bila Mkurugenzi na MADIWANI hao kufanya kikao chochote na Wazazi wote.

Shida kubwa inatokana na shule hii kuondolewa kwenye SERIKALI KUU na kuachwa iwe chini ya Manispaa ya JIJI la ARUSHA.

Kinyume na matarajia Tena bila makubalino na Wazazi husika wenye Watoto shuleni hapo...Mamilioni hayo ya FEDHA yanaenda MOJA kwa MOJA Manispaa ya JIJI badala ya kuachwa zibaki kwenye akaunti ya shule ili zitumike ziendlesha shule hio TU.

Taarifa zinasema, Baada ya FEDHA zitapelekwa kuanza ujenzi wa shule nyingine Mpya yenye mfumo huo wa Kufundisha kwa Kiingereza bila idhini lenye kutokana na kikao pamoja na Wazazi wa Arusha school.

Kwa taarifa zilizopo Wazazi waliomba kikao na MKURUGENZI wa JIJI Hilo la Arusha amegoma kabisa KUFIKA na kuwasikiliza Wazazi na Wazazi wamsikilize yeye Kisha kuwe na maamuzi mazuri ya pamoja.

Badala yake Sasa wamtumia Mkuu wa shule niliyejulishwa kuwa anaitwa HASHIMU NJAU kutoa vimemo vya kuwalazimisha Wazazi walipe ONGEZEKO LA GHARAMA HIZO ZA KUSOMESHA MTOTO.Wakati naongea na MZAZI huyo aliniambia bila kujua habari hizi zitatoka heawani...Aliniambia Wameambiwa kwa vimemo kesho Tarehe 15/2/2024 kwa MWANAFUNZI WA DAY (Kutwa) na BWENI LAZIMA walipe FEDHA hizo kwa amri hio ya Mkurugenzi zaidi ya hapo hakuna mtoto atakayeruhusiwa kuingia DARASANI kesho.

MZAZI anasema,tumezoea kulipa ADA kwa mwaka 570,000/= kutwa na inatosha kabisa,Sasa mabadiliko haya yanayofanywa bila WAZAZI kuKkubali tunajemga ama tunabomoa?

Tunasikia wanasema zinatafutwa pesa uchaguzi 2024 na 2025 wamekosa pakuzipatia pesa za kampeni mpaka Wazazi wanyonge wanajitahidi kusomesha Watoto tuwaacjie hata urithi wa Elimu TUKAMULIWE MPAKA DAMU?

Mkuu wa Wilaya na Mkoa nasikia wanalijua suala hili,Wamesaidiaje mpaka Sasa?

Waziri Elimu inasemekana pia kilio hiki kimemfikia iwe rasmi au kwa kutonywa Wasije subiri WAZAZI Wakajazana Getini wakiimba TUNAMTAKA MKURUGENZI×20 kwa siku mzima au HATUTAKI ADA KUPANDA×200 kwa kutwa nzima hapo Getini.

Jamani Mjumbe hauawi, penye Moshi Kuna Moto ..ARUSHA SCHOOL hapo Karibu na mkabala na Tanesco Sasa kunafukuta tusisubiri mengineyo maana Kikao Cha Mkuu wa shule na Wazazi WAZAZI WALIKUWA WANAZOMEA NANKUPIGA MAKELELE MNO...Alisema mzazi .

Nami nashauri JICHO LA TATU LICHUNGULIE Ikiwezekana shule hio irudishwe SERIKALI KUU maana kwa Sasa inayumbishwa ovyo na wanasiasa.

Asanteni!

View attachment 2904038

Hii shule enzi zake ilikuwa chini ya state kabisa ikisimamiwa direct na wizara ya Elimu na ilikuwa inajitegemea ikiwa na wanafunzi hadi wa nje ya nchi …Leo inaachiwa Madiwani kama shule ya kata ???
 
Hii shule enzi zake ilikuwa chini ya state kabisa ikisimamiwa direct na wizara ya Elimu na ilikuwa inajitegemea ikiwa na wanafunzi hadi wa nje ya nchi …Leo inaachiwa Madiwani kama shule ya kata ???
Kwa kweli inakera na kuchosha.
 
Arusha school irudi serikali kuu. Nilifika pale nilisikitika sana... Imeshuka hadhi kimajengo, kivitendo na Kila hali.. Kuna shule za kata ni nzuri maradufu kuliko Arusha school... Mkurugenzi Hana kosa Wala hao madiwan MAANA wanaichukulianpia kama chanzo Cha mapato... Kwa historia ya Ile shule irudi serikali kuu na HATUA zichukuliwe irudishiwe hadhi yake.
 
Aliyekupa hii habari mwambie akupe habari sahihi. Arusha school ninayoifahamu ni shule inayoendehswa Kwa mfumo wa kimataifa ambayo inaanzia darasa la chekechea Hadi sekondary, labda kama alilenga Arusha day secondary
 
Back
Top Bottom