banned do
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 574
- 508
Hujachimba vishimo kwenye ardhi mtoto anavyomwaga sound??
Na kuchuma majani ya mti huku aking'ata kucha.
Hujachimba vishimo kwenye ardhi mtoto anavyomwaga sound??
Mkuu kuwa makini maana wadada wa siku hizi naskia wanakutumbukiza vidole kunako ...kuna kiongoz mmoja wa jiji kubwa hapa nchini kashafanyiwa et
NB: ni fununu tu.
ha ha haha nikinywa wine nakutongoza live bila chenga
Sijaelewa mkuuKumbe ni kawaida ya Chuga.
vpi mie mie nawewe kwann tusitongozanenaomba umkubalie tu
Kusemaje mzuri sana wewe au unapesa saana ebu tuondokee na sifa zako za kipuuzi staki kuzisikia tenaNi kweli kaka nikihesabu Wanawake walionitongoza wanafika 5
Sipatii picha ulivyokuwa unakula kucha huku ukimjibu ngoja ukafikirie.Wadau Niko Zangu Arusha Kikazi Yapata Wiki Sasa Nimekutana Dada Mmoja Ni Mfanyakazi Kampuni X Ambayo Nimefikia Yaani Kanizoea Kwa Muda Mfupi Tu,
Sasa Jana Aliniomba Namba Yangu Ya Simu Wala Sikutaka Hiyana Nikampatia Bila Shida Nikajua Tu Kwakuwa Ni Mfanyakazi Mwenzangu Atanipa Ramani Za Huku Maana Mie Mgeni Wa Jiji La Arusha
Sasa Shughuri Ikaanza Mida Usiku Kila Muda Meseji Mara 'Uko Wapi Baby Naomba Tuonane Ni Muhimu. Nikaguna Kuona Hiyo Text Ikabidi Nimpigie, akanambia Tukutane Mahala Aisee Kilichonikuta Ni Hatare
Mtoto Akaanza Kunifungukia Vibaya Mno Nikabaki Naduwaa Tu Kweli Kuna Wanawake Kiboko Aisee Mpaka Dakika Hii Sijamjibu
Kwani tuna Ugomvi ukweli ndio huo Acha kupanic wewe Waache wanawake watongoze kama we Huwezi Stupid WomanKusemaje mzuri sana wewe au unapesa saana ebu tuondokee na sifa zako za kipuuzi staki kuzisikia tena