mwayungi
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,814
- 3,078
Hapana kaka undugu ni muhimu sana kuliko mapenziKaka liamshe dude
Hapana kaka undugu ni muhimu sana kuliko mapenziKaka liamshe dude
Ungekuwa unaeleza kuwa umeshasafisha shaft tayari na uko naye mbona wanaume wengine mko wanyanyasaji sana kwa wanawake. Ngoja ufe uzaliwe upya ukiwa mwanamke ndiyo uone jinsi genye zinavyowatesa warembo waliokosa hiyo kitu. Haaaahaaaahaaaa. Arusha A town.Wadau Niko Zangu Arusha Kikazi Yapata Wiki Sasa Nimekutana Dada Mmoja Ni Mfanyakazi Kampuni X Ambayo Nimefikia Yaani Kanizoea Kwa Muda Mfupi Tu,
Sasa Jana Aliniomba Namba Yangu Ya Simu Wala Sikutaka Hiyana Nikampatia Bila Shida Nikajua Tu Kwakuwa Ni Mfanyakazi Mwenzangu Atanipa Ramani Za Huku Maana Mie Mgeni Wa Jiji La Arusha
Sasa Shughuri Ikaanza Mida Usiku Kila Muda Meseji Mara 'Uko Wapi Baby Naomba Tuonane Ni Muhimu. Nikaguna Kuona Hiyo Text Ikabidi Nimpigie, akanambia Tukutane Mahala Aisee Kilichonikuta Ni Hatare
Mtoto Akaanza Kunifungukia Vibaya Mno Nikabaki Naduwaa Tu Kweli Kuna Wanawake Kiboko Aisee Mpaka Dakika Hii Sijamjibu
mkuu unaniumbua ujueUngekuwa unaeleza kuwa umeshasafisha shaft tayari na uko naye mbona wanaume wengine mko wanyanyasaji sana kwa wanawake. Ngoja ufe uzaliwe upya ukiwa mwanamke ndiyo uone jinsi genye zinavyowatesa warembo waliokosa hiyo kitu. Haaaahaaaahaaaa. Arusha A town.
bora ata umesema ukweliAtaacha vipi kutiririka kwa jinsi maisha yalivyo magumu!!!!
Ataacha vipi kutiririka kwa jinsi maisha yalivyo magumu!!!!