TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Hii ita support adsl+ ya copper? View attachment 2466459
IMG_20230102_110245.jpg
View attachment 2466460
 
Kwahiyo mkuu kwenye adsl+ haitakubali?
ADSL zina standard tofauti kuwa muangalifu sio kila router itakufaa. Kumbuka pia ukichukua modem tofauti configuration ni jukumu lako mafundi wa ttcl wanaweza wasiwe na msaada sana.
 
Itakuepo ila sijajua wapi na wapi.

Tembelea ofisi zao ama toka nje Angalia nguzo za umeme ama za simu, ukiona zile waya za kizamani ambazo zipo mbili kwa pamoja basi ipo
 

Attachments

  • IMG_20230222_164403_581.jpg
    IMG_20230222_164403_581.jpg
    646.4 KB · Views: 27
  • IMG_20230222_164450_011.jpg
    IMG_20230222_164450_011.jpg
    352.4 KB · Views: 33
  • IMG_20230222_164514_140.jpg
    IMG_20230222_164514_140.jpg
    604.9 KB · Views: 33
Mbili kwa pamoja kivipi broo Sorry kwa usumbuf lkn
Sioni vizuri picha mkuu, ila nahisi hizo ni Fiber za kutosha hapo, wait nikifika home nikupigie picha ya Waya wa Adsl ulivyo.

Fiber ni nzuri zaidi mkuu kama unaweza Afford 55,000 kwa mwezi kama huwezi unaweza kushare na Jirani cost.
 
Sioni vizuri picha mkuu, ila nahisi hizo ni Fiber za kutosha hapo, wait nikifika home nikupigie picha ya Waya wa Adsl ulivyo.

Fiber ni nzuri zaidi mkuu kama unaweza Afford 55,000 kwa mwezi kama huwezi unaweza kushare na Jirani cost.
Daah itakua poah San ka ni fiber broo maan nilikua naitaka hio Ila nkahof kua hazijafka uku maan Niko ndani ndani sana
 
Sioni vizuri picha mkuu, ila nahisi hizo ni Fiber za kutosha hapo, wait nikifika home nikupigie picha ya Waya wa Adsl ulivyo.

Fiber ni nzuri zaidi mkuu kama unaweza Afford 55,000 kwa mwezi kama huwezi unaweza kushare na Jirani cost.
Naomba namba ako Pm broo kukupata hapa n tabu San since ndo nmejiunga Leo jf so bad cjaelew fresh
 
Katika pita pita zangu nikakutana na mtu akaniambia. TTCL fibre iko njema kwenye speed ila latency yake ni ya uongo.

Ana mdau wake ambae alikuwa anachezaga nae Call Of Duty ndio anakutana na hiyo experience, kwenye game latency ni kubwa ila akiwa anashusha mizigo kama movie speed inakuwa ya kutosha.

Mwenye experience na TTCL fibre to home anipe mrejesho wa hili ikiwezekana hata aje picha ya test kadhaa.
Kwa sasa natumia supakasi na huwa natumia hii website rain Speedtest kupima speed na latency na huwa inakaribiana na ile ambayo naipata kwenye game maana hiyo website na server za game zote zipo ziko South Africa
IMG_1248.png
 
Katika pita pita zangu nikakutana na mtu akaniambia. TTCL fibre iko njema kwenye speed ila latency yake ni ya uongo.

Ana mdau wake ambae alikuwa anachezaga nae Call Of Duty ndio anakutana na hiyo experience, kwenye game latency ni kubwa ila akiwa anashusha mizigo kama movie speed inakuwa ya kutosha.

Mwenye experience na TTCL fibre to home anipe mrejesho wa hili ikiwezekana hata aje picha ya test kadhaa.
Kwa sasa natumia supakasi na huwa natumia hii website rain Speedtest kupima speed na latency na huwa inakaribiana na ile ambayo naipata kwenye game maana hiyo website na server za game zote zipo ziko South Africa
View attachment 2559210
Kwa uzoefu wangu mkuu na Fiber za Bongo hakuna anaye supply router nzuri sababu wanatoa router bure.

Voda wanatoa Fastmile, ni router kali vibaya mno, bei inaenda hadi $800.

Kucheza games go wired, connect ps4/pc/tv na vitu vyako muhimu vinavyohitaji latency utaona mabadiliko makubwa.

Mi mwenyewe nina Router ya TTCL (Adsl lakini) kila baada ya muda inabidi urestart kuhakikisha speed ipo vizuri.

Na Zuku natumia Fiber nishacheza games sana kipindi cha nyuma kwa pc P2p na Group kwa Ethernet bila shida, ila kwa wireless bora utumiq kina voda.
 
kako chief, kuna hii nimeona huko duniani. kwa hapa kwetu inaweza kunisaidia kwenye matumizi ya fiber au internet ya copper? ebay
 

Attachments

  • s-l500.jpg
    s-l500.jpg
    32.9 KB · Views: 28
kako chief, kuna hii nimeona huko duniani. kwa hapa kwetu inaweza kunisaidia kwenye matumizi ya fiber au internet ya copper? ebay
Ni Adsl2+ Router mkuu, inafaa kwa Copper mkuu, ila router yenyewe ni ya maana Gigabit connection na kama Port ya wan naiona hapo ina maana kama siku unaweka fiber unaweza tumia Ethernet kwenye Wan na hio router ikawa Extension ya kukupa Coverage zaidi.
 
Ni Adsl2+ Router mkuu, inafaa kwa Copper mkuu, ila router yenyewe ni ya maana Gigabit connection na kama Port ya wan naiona hapo ina maana kama siku unaweka fiber unaweza tumia Ethernet kwenye Wan na hio router ikawa Extension ya kukupa Coverage zaidi.
Asante kiongozi, ngoja niruke nayo.
 
kako chief, kuna hii nimeona huko duniani. kwa hapa kwetu inaweza kunisaidia kwenye matumizi ya fiber au internet ya copper? ebay
Natafuta ile huawei au tp link pocket wifi 4g ya mitandao yote. Napata wapi na bei gani hata ikiwa used
 
Naomba kuuliza kampuni gani inatoa huduma hii? Na gharama zipoje kuanzia installation na malipo ya mwezi Chief-Mkwawa View attachment 2561988
Ttcl anatoa hii na gharama zake ni za fiber za mwezi ila izo radio unanunua mwenyeo wanafunga kwenye mnara wao na wanakufungia kwako pia zinakuwa 2 inaweza cost 1.3 installation au upate izo radio bei rahisi inaweza kushuka, radio 1 ni laki 4 kwa 2 ni laki 8..
 
Katika pita pita zangu nikakutana na mtu akaniambia. TTCL fibre iko njema kwenye speed ila latency yake ni ya uongo.

Ana mdau wake ambae alikuwa anachezaga nae Call Of Duty ndio anakutana na hiyo experience, kwenye game latency ni kubwa ila akiwa anashusha mizigo kama movie speed inakuwa ya kutosha.

Mwenye experience na TTCL fibre to home anipe mrejesho wa hili ikiwezekana hata aje picha ya test kadhaa.
Kwa sasa natumia supakasi na huwa natumia hii website rain Speedtest kupima speed na latency na huwa inakaribiana na ile ambayo naipata kwenye game maana hiyo website na server za game zote zipo ziko South Africa
View attachment 2559210

IMG_2556.png

Vodacom supa kasi huduma ya 115,000 kwa mwezi
 
Back
Top Bottom