Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,885
- 38,841
ππΌππππππππ½πΌ πππππΌ'
Akizungumza na AzamSports , Try again amesema kuwa, vilabu vingine vinataka umaarufu tu kupitia Simba. Simba SC haikumuiba Fabrice Ngoma Airport, tayari walikuwa wameshamalizana nae kwa hiyo wasingeweza kumuiba Airport.
"Hatukumuiba Fabrice Ngoma, wakati anakuja biashara ilikuwa imekwisha, sasa unamuibaje !! unamchukuaje Airport?
"Tuliongea na uongozi wa Al-Hilal kwa kuwa tuna uhusiano mzuri haikuwa ngumu sana ukizingatia pia mchezaji mwenyewe alipenda kujiunga na Simba na agent wake alimshauri".
Salim Abdallah Try again
Mwenyekiti wa bodi ya Simba SC
Akizungumza na AzamSports , Try again amesema kuwa, vilabu vingine vinataka umaarufu tu kupitia Simba. Simba SC haikumuiba Fabrice Ngoma Airport, tayari walikuwa wameshamalizana nae kwa hiyo wasingeweza kumuiba Airport.
"Hatukumuiba Fabrice Ngoma, wakati anakuja biashara ilikuwa imekwisha, sasa unamuibaje !! unamchukuaje Airport?
"Tuliongea na uongozi wa Al-Hilal kwa kuwa tuna uhusiano mzuri haikuwa ngumu sana ukizingatia pia mchezaji mwenyewe alipenda kujiunga na Simba na agent wake alimshauri".
Salim Abdallah Try again
Mwenyekiti wa bodi ya Simba SC