mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,078
- 3,142
Hahahahahahahahahahahahahahahahaha.....Nitawaambia Simba SC ikimfunga Al Ahly katika Michuano mipya na yenye Hadhi Kubwa Barani Afrika ( kuliko ile ya Kucheza Fainali ya CAFCC kwa Wapuuzi fulani ) iitwayo AFRICAN FOOTBALL LEAGUE kisha Kucheza Nusu Fainali na Mamelodi Sundown FC na Kuwafunga na Kutinga Fainali kwa Kucheza na Esperance du Tunis na Kumfunga hadi Kutwaa Ubingwa na kupata Zawadi ya Fedha za Kuweza Kuwanunua Wapuuzi FC Kigamboni, Rais wao Jeans Midabwada, Mdhamini wao MSG, Jengo lao Chafu na Mashabiki wao wasio na Akili kama alivyothibitisha Msemaji na Mhamasishaji wao Mzungu Pori mvuta Mirungi, Ugolo na Bangi za Ilala Bungoni zinazovutwa mno Uwanja ulioko Jirani na Msikiti na Nyumbani Kwao Mchezaji wa Coastal Union FC Ibrahim Ajib.