Tribute to Sanctus Mtsimbe: Sio tu ni smart kwa mavazi na muonekano, pia ni smart kwa mawazo, maneno, na matendo, na very smart upstairs!

Wanabodi
View attachment 2934383
Leo asubuhi nimeianza siku vibaya, kwa bandiko la Mkuu Maxence Melo kuhusu msiba huu.

Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.

Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.

Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.

Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".

Kufahamiana na Sanctus.
Mimi japo ni Msukuma, na sisi Wasukuma tunasifika sana kwa ushamba, mimi naomba kukiri kuwa japo mimi ni Msukuma wa mjini, niliyezaliwa mjini, nikasomea mjini, Dar na Arusha, ila ushamba wa Kisukuma wa kuchanganyikiwa na "vitu white" pia bado ni mshamba wa ma ndinga na big bikes!.

Mwaka 2005 kampuni ya magari ya Land Rover walitoa 1st edition ya Range Rover Sport, washikaji wangu wawili, Bered na Johnson, wakazama London, waka press order Range Sport 2, custom made Autobiography zikatua nchini kwa dege kubwa la cargo la BA, Boeng 747 Jumbo Jet, ukazishusha hizo ndinga mbili!.

Baada ya hao madogo wawili kushusha hizo ndinga, Range Sport ikaingia kwenye limelight, mtu ukiona ngozi nyeusi inavuta Range Sport, unapata dukuduku na mshawasha wa kumjua huyu jamaa ni nani?

2007, kuna event fulani pale British Council, Sanctus alikuwa anafanya presentations fulani kuhusu Simba Net, mimi nikachangia kitu, wakati wa tunatoka Sanctus aniuliza Kiti Moto kimefia wapi?!, tuonane tukifufue. Tukaagana, nilipomuangalia, akavuka barabara amepaki Range Sport pale CRDB, Holland House!. Nilisimama nikimkodolea macho mpaka anaishia!.

Toka hapo tukaanza urafiki, akanikaribisha Simba Net, tukaa chini kuanzisha studio, akaanzisha Jason Production, alinikaribisha studio yake niliitumia bure.

Le Mutuz pia alihifadhiwa na huyu jamaa!.

Tukakutana JF msiba wa Regia. Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero

Tenda ya Publicity ya DSE Wekeza Inalipa
Sanctus ni Lobbyist mzuri, alishinda tenda ya publicity ya DSE, kupitia kampeni iitwayo, wekeza inalipa. DSE Sasa Kuziwezesha SME Kupata Mitaji - Press Release

- Jinsi ya Kupata Mtaji kwa Bila Dhamana Kupitia DSE

hivyo akanikaribisha tuka join forces to execute it. Mimi ndio nilikuwa presenter, akanipa kazi ya kuwafundisha utangazaji warembo, kiukweli ilikuwa mtihani!. Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

View: https://youtu.be/WsjLgmj4Kpo?si=6jB46qio6j_y_duD

Sanctus Mtsimbe na Pasco Mayalla, Compare and Contrast
Kwenye hiyo tenda ya DSE mimi ndio nilikuwa mtangazaji kiongozi, nikapewa jukumu la kwanza kuwa train watangazaji wasaidizi. Watangazaji hao ni mabinti 5, na janki 2. Hao mabinti wote walikuwa single, halafu Mwalimu mwenyewe family inaishi US!, ilikuwa mitihani, hebu washuhudie
View: https://youtu.be/o4ALCgLrOuc?si=Lb7x1Eyvc06PyuZ3

View: https://youtu.be/5Lrm4az7BYc?si=5syRXyj2X9VyNtwh

View: https://youtu.be/cqXJMRB8hSE?si=Q1doxmJ9Vj-gYDBj

Sanctus Mtsimbe alikuwa always very smart and formal, sikumbuki kumuona event yoyote bila suti, nimi nilikuwa sometimes smart, sometimes casual and sometimes niko rough!.

Kitendo cha kunifanya Mwalimu wa warembo 5 single, ni kama kumpa fisi kazi ya kulinda mbuzi!. Mimi pia ni binadamu, na sio malaika!, darasa nikaliendesha, huku nikitaka kujiweka mahali, hebu angalia Mwanafunzi wako yuko kama huyu halafu uniambie hata ungekuwa wewe... Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

One day nimevuta mpunga wa maana kwa Boss Mtsimbe, nikaamua huyu binti ni ama zake ama zangu!, binti akakubali zoezi la kazi na dawa, baada ya kazi, twende mahali tukapate dawa, siku hiyo Ijumaa, tumemaliza mapema, nikamwambia binti mimi natangulia chini, basi nikashuka chini na kusubiria kujibebea kama nimeokota!.

Binti akashuka na funguo za ndinga yake mkononi akasema kwa vile yeye ni star, kila mtu aende na usafiri wake tukutane sehemu, ili usiwape watu faida bure ya kupata kitu cha kusema!. Mrembo kwenda kwenye gari kumbe ni yeye ndiye ana vuta ile Range Sport ya Boss!. Hapo kuna cha kuuliza tena!, ni heshima adabu!. Kumbe ulikuwa wasiwasi wangu tuu, Boss Mtsimbe ni mtu smart, muadilifu na mchaMungu!, ni msafi kwenye muonekano, msafi kwenye mawazo, msafi kwenye maneno, msafi hadi kwenye matendo!, hanywi pombe, havuti sugar, sio mtu wa kujirusha, he was really smart kila Idara, yeye ni kazi kazi, sio akina sisi wa kazi na dawa!.

Baada ya project ya DSE kukamilika akafungua TV yake.

Ni Mtsimbe aliasisi JF get together na kunifanya mimi kuwa MC. Pia ndie alikuwa President of TPN, Jf Karibuni Tanzania Professionals Network

RIP Comred Santus Mtsimbe.
Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.

Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali

Pasco, nakupongeza kwa kazi zako nyingi umefanya tangu nikufahamu. pia nawapa pole wafiwa, ni kitu kinauma kupoteza ndugu, au niseme mwanadamu yeyote.

lakini pamoja na hayo, nakushauri kitu kimoja, sisi wanaume mara nyingi huwa tunajisifu kwa kuwa na wadada wazuri, au kuwa na vitu vizuri. Mungu hajatuumba tuishi maisha hayo, na hapendi tujisifu kwa ajili ya hayo. wengi huwa wanajisifu kwa uzinzi, nimelala na wanawake wengi wazuri, nimefanya hivi na vile, nimekula bata, nimefanikiwa katika kazi, hakuna aliyewahi kumzidi Mfalme suleimani katika haya yote, ambaye naye baada ya kuboronga sana maisha alikuja kuthibitisha kwamba kila kitu katika dunia hii ni ubatili, vinapita tu, ila Mungu anadumu milele naye ndiye aliyeshikilia maisha yetu. unatakiwa uokoke, mpe Yesu Maisha yako, uwe kiumbe kipya, maisha ya dini hayaokoi roho, maisha ya dini hata ingekuwa nzuri au ya zamani namna gani hayaponyo roho, na duniani tunapita tu.

Yeremia 9:23 - 24 INASEMA: Bwana asema hivi, mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwasababu ya utajiri wake, bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi na kunijua ya kuwa mimni ni Bwana, nitendaye wema na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWana.

Ninashuhudiwa moyoni nikuase kwamba, mkumbuke Muumba wako, zaidi ya hivyo unavyomkumbuka sasa, yawezekana haujafanya kwa kiwango ambacho Mungu anataka, Mungu anataka ufikie kiwango cha kuokoka,mpe Yesu Maisha yako wakati nuru ingalipo, kwasababu siku zaja ambazo wengi wataukumbuka muda walioupoteza kwa mapotofu wasipate kurudi nyuma. Mungu ametupatia pumzi na uhai ili tumrudie yeye, tumpe sifa yeye, tumpe maisha yetu ili ayakomboe, Yesu alikuja sio kwa sababu ya dini, bali kwa sababu ya wokovu ambao wengi wanaukataa. wengi tulikuwa kama wewe, tulikuwa wabishi, tumebishana sana hata humu ila wakati ulifika Yesu akabadilisha maisha, yote yale yamekuwa historia, maisha yetu yapo mikononi mwake Yesu, yeye ndiye mponyaji wetu, yeye ndiye mtetezi wetu, yeye ndiye komandoo wetu na tumaini letu kwa kila kitu. Mungu akusaidie!
 
Nyie waandishi wa kitanzania sijui anasomea vyuo gani, andiko lenu lilitakiwa tumjue marehemu vizuri, umri wake, familia yake na sababu ya kifo chake, ni cha ghafla, ugonjwa wa mda mrefu, ajali nk.
Mimi mpaka nikajikuta Nina question uwezo wangu wa kuelewa.
Mwisho Nika conclude maybe thread hainihusu ndio maana sijaelewa lengo lake.
 
Wanabodi
View attachment 2934383
Leo asubuhi nimeianza siku vibaya, kwa bandiko la Mkuu Maxence Melo kuhusu msiba huu.

Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.

Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.

Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.

Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".

Kufahamiana na Sanctus.
Mimi japo ni Msukuma, na sisi Wasukuma tunasifika sana kwa ushamba, mimi naomba kukiri kuwa japo mimi ni Msukuma wa mjini, niliyezaliwa mjini, nikasomea mjini, Dar na Arusha, ila ushamba wa Kisukuma wa kuchanganyikiwa na "vitu white" pia bado ni mshamba wa ma ndinga na big bikes!.

Mwaka 2005 kampuni ya magari ya Land Rover walitoa 1st edition ya Range Rover Sport, washikaji wangu wawili, Bered na Johnson, wakazama London, waka press order Range Sport 2, custom made Autobiography zikatua nchini kwa dege kubwa la cargo la BA, Boeng 747 Jumbo Jet, ukazishusha hizo ndinga mbili!.

Baada ya hao madogo wawili kushusha hizo ndinga, Range Sport ikaingia kwenye limelight, mtu ukiona ngozi nyeusi inavuta Range Sport, unapata dukuduku na mshawasha wa kumjua huyu jamaa ni nani?

2007, kuna event fulani pale British Council, Sanctus alikuwa anafanya presentations fulani kuhusu Simba Net, mimi nikachangia kitu, wakati wa tunatoka Sanctus aniuliza Kiti Moto kimefia wapi?!, tuonane tukifufue. Tukaagana, nilipomuangalia, akavuka barabara amepaki Range Sport pale CRDB, Holland House!. Nilisimama nikimkodolea macho mpaka anaishia!.

Toka hapo tukaanza urafiki, akanikaribisha Simba Net, tukaa chini kuanzisha studio, akaanzisha Jason Production, alinikaribisha studio yake niliitumia bure.

Le Mutuz pia alihifadhiwa na huyu jamaa!.

Tukakutana JF msiba wa Regia. Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero

Tenda ya Publicity ya DSE Wekeza Inalipa
Sanctus ni Lobbyist mzuri, alishinda tenda ya publicity ya DSE, kupitia kampeni iitwayo, wekeza inalipa. DSE Sasa Kuziwezesha SME Kupata Mitaji - Press Release

- Jinsi ya Kupata Mtaji kwa Bila Dhamana Kupitia DSE

hivyo akanikaribisha tuka join forces to execute it. Mimi ndio nilikuwa presenter, akanipa kazi ya kuwafundisha utangazaji warembo, kiukweli ilikuwa mtihani!. Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

View: https://youtu.be/WsjLgmj4Kpo?si=6jB46qio6j_y_duD

Sanctus Mtsimbe na Pasco Mayalla, Compare and Contrast
Kwenye hiyo tenda ya DSE mimi ndio nilikuwa mtangazaji kiongozi, nikapewa jukumu la kwanza kuwa train watangazaji wasaidizi. Watangazaji hao ni mabinti 5, na janki 2. Hao mabinti wote walikuwa single, halafu Mwalimu mwenyewe family inaishi US!, ilikuwa mitihani, hebu washuhudie
View: https://youtu.be/o4ALCgLrOuc?si=Lb7x1Eyvc06PyuZ3

View: https://youtu.be/5Lrm4az7BYc?si=5syRXyj2X9VyNtwh

View: https://youtu.be/cqXJMRB8hSE?si=Q1doxmJ9Vj-gYDBj

Sanctus Mtsimbe alikuwa always very smart and formal, sikumbuki kumuona event yoyote bila suti, nimi nilikuwa sometimes smart, sometimes casual and sometimes niko rough!.

Kitendo cha kunifanya Mwalimu wa warembo 5 single, ni kama kumpa fisi kazi ya kulinda mbuzi!. Mimi pia ni binadamu, na sio malaika!, darasa nikaliendesha, huku nikitaka kujiweka mahali, hebu angalia Mwanafunzi wako yuko kama huyu halafu uniambie hata ungekuwa wewe... Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

One day nimevuta mpunga wa maana kwa Boss Mtsimbe, nikaamua huyu binti ni ama zake ama zangu!, binti akakubali zoezi la kazi na dawa, baada ya kazi, twende mahali tukapate dawa, siku hiyo Ijumaa, tumemaliza mapema, nikamwambia binti mimi natangulia chini, basi nikashuka chini na kusubiria kujibebea kama nimeokota!.

Binti akashuka na funguo za ndinga yake mkononi akasema kwa vile yeye ni star, kila mtu aende na usafiri wake tukutane sehemu, ili usiwape watu faida bure ya kupata kitu cha kusema!. Mrembo kwenda kwenye gari kumbe ni yeye ndiye ana vuta ile Range Sport ya Boss!. Hapo kuna cha kuuliza tena!, ni heshima adabu!. Kumbe ulikuwa wasiwasi wangu tuu, Boss Mtsimbe ni mtu smart, muadilifu na mchaMungu!, ni msafi kwenye muonekano, msafi kwenye mawazo, msafi kwenye maneno, msafi hadi kwenye matendo!, hanywi pombe, havuti sugar, sio mtu wa kujirusha, he was really smart kila Idara, yeye ni kazi kazi, sio akina sisi wa kazi na dawa!.

Baada ya project ya DSE kukamilika akafungua TV yake.

Ni Mtsimbe aliasisi JF get together na kunifanya mimi kuwa MC. Pia ndie alikuwa President of TPN, Jf Karibuni Tanzania Professionals Network

RIP Comred Santus Mtsimbe.
Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.

Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali

Paskali na ww kwa kujisia hayo mambo ya totoz, hukawii hata kutuambia umeshamtafuna FaizaFoxy
 
Wanabodi
View attachment 2934383
Leo asubuhi nimeianza siku vibaya, kwa bandiko la Mkuu Maxence Melo kuhusu msiba huu.

Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.

Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.

Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.

Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".

Kufahamiana na Sanctus.
Mimi japo ni Msukuma, na sisi Wasukuma tunasifika sana kwa ushamba, mimi naomba kukiri kuwa japo mimi ni Msukuma wa mjini, niliyezaliwa mjini, nikasomea mjini, Dar na Arusha, ila ushamba wa Kisukuma wa kuchanganyikiwa na "vitu white" pia bado ni mshamba wa ma ndinga na big bikes!.

Mwaka 2005 kampuni ya magari ya Land Rover walitoa 1st edition ya Range Rover Sport, washikaji wangu wawili, Bered na Johnson, wakazama London, waka press order Range Sport 2, custom made Autobiography zikatua nchini kwa dege kubwa la cargo la BA, Boeng 747 Jumbo Jet, ukazishusha hizo ndinga mbili!.

Baada ya hao madogo wawili kushusha hizo ndinga, Range Sport ikaingia kwenye limelight, mtu ukiona ngozi nyeusi inavuta Range Sport, unapata dukuduku na mshawasha wa kumjua huyu jamaa ni nani?

2007, kuna event fulani pale British Council, Sanctus alikuwa anafanya presentations fulani kuhusu Simba Net, mimi nikachangia kitu, wakati wa tunatoka Sanctus aniuliza Kiti Moto kimefia wapi?!, tuonane tukifufue. Tukaagana, nilipomuangalia, akavuka barabara amepaki Range Sport pale CRDB, Holland House!. Nilisimama nikimkodolea macho mpaka anaishia!.

Toka hapo tukaanza urafiki, akanikaribisha Simba Net, tukaa chini kuanzisha studio, akaanzisha Jason Production, alinikaribisha studio yake niliitumia bure.

Le Mutuz pia alihifadhiwa na huyu jamaa!.

Tukakutana JF msiba wa Regia. Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero

Tenda ya Publicity ya DSE Wekeza Inalipa
Sanctus ni Lobbyist mzuri, alishinda tenda ya publicity ya DSE, kupitia kampeni iitwayo, wekeza inalipa. DSE Sasa Kuziwezesha SME Kupata Mitaji - Press Release

- Jinsi ya Kupata Mtaji kwa Bila Dhamana Kupitia DSE

hivyo akanikaribisha tuka join forces to execute it. Mimi ndio nilikuwa presenter, akanipa kazi ya kuwafundisha utangazaji warembo, kiukweli ilikuwa mtihani!. Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

View: https://youtu.be/WsjLgmj4Kpo?si=6jB46qio6j_y_duD

Sanctus Mtsimbe na Pasco Mayalla, Compare and Contrast
Kwenye hiyo tenda ya DSE mimi ndio nilikuwa mtangazaji kiongozi, nikapewa jukumu la kwanza kuwa train watangazaji wasaidizi. Watangazaji hao ni mabinti 5, na janki 2. Hao mabinti wote walikuwa single, halafu Mwalimu mwenyewe family inaishi US!, ilikuwa mitihani, hebu washuhudie
View: https://youtu.be/o4ALCgLrOuc?si=Lb7x1Eyvc06PyuZ3

View: https://youtu.be/5Lrm4az7BYc?si=5syRXyj2X9VyNtwh

View: https://youtu.be/cqXJMRB8hSE?si=Q1doxmJ9Vj-gYDBj

Sanctus Mtsimbe alikuwa always very smart and formal, sikumbuki kumuona event yoyote bila suti, nimi nilikuwa sometimes smart, sometimes casual and sometimes niko rough!.

Kitendo cha kunifanya Mwalimu wa warembo 5 single, ni kama kumpa fisi kazi ya kulinda mbuzi!. Mimi pia ni binadamu, na sio malaika!, darasa nikaliendesha, huku nikitaka kujiweka mahali, hebu angalia Mwanafunzi wako yuko kama huyu halafu uniambie hata ungekuwa wewe... Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

One day nimevuta mpunga wa maana kwa Boss Mtsimbe, nikaamua huyu binti ni ama zake ama zangu!, binti akakubali zoezi la kazi na dawa, baada ya kazi, twende mahali tukapate dawa, siku hiyo Ijumaa, tumemaliza mapema, nikamwambia binti mimi natangulia chini, basi nikashuka chini na kusubiria kujibebea kama nimeokota!.

Binti akashuka na funguo za ndinga yake mkononi akasema kwa vile yeye ni star, kila mtu aende na usafiri wake tukutane sehemu, ili usiwape watu faida bure ya kupata kitu cha kusema!. Mrembo kwenda kwenye gari kumbe ni yeye ndiye ana vuta ile Range Sport ya Boss!. Hapo kuna cha kuuliza tena!, ni heshima adabu!. Kumbe ulikuwa wasiwasi wangu tuu, Boss Mtsimbe ni mtu smart, muadilifu na mchaMungu!, ni msafi kwenye muonekano, msafi kwenye mawazo, msafi kwenye maneno, msafi hadi kwenye matendo!, hanywi pombe, havuti sugar, sio mtu wa kujirusha, he was really smart kila Idara, yeye ni kazi kazi, sio akina sisi wa kazi na dawa!.

Baada ya project ya DSE kukamilika akafungua TV yake.

Ni Mtsimbe aliasisi JF get together na kunifanya mimi kuwa MC. Pia ndie alikuwa President of TPN, Jf Karibuni Tanzania Professionals Network

RIP Comred Santus Mtsimbe.
Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.

Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali

Pascal Mayalla Mkuu sidhani kwa akiri hizi umeonesha hapa wewe baado upo married... instead kuleta wasifu vizuri wa marehemu wewe unakazia maisha ya umalaya tuu ...naishia kuwashukuru wajumbe Kule Kawe .
 
Wanabodi
View attachment 2934383
Leo asubuhi nimeianza siku vibaya, kwa bandiko la Mkuu Maxence Melo kuhusu msiba huu.

Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.

Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.

Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.

Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".

Kufahamiana na Sanctus.
Mimi japo ni Msukuma, na sisi Wasukuma tunasifika sana kwa ushamba, mimi naomba kukiri kuwa japo mimi ni Msukuma wa mjini, niliyezaliwa mjini, nikasomea mjini, Dar na Arusha, ila ushamba wa Kisukuma wa kuchanganyikiwa na "vitu white" pia bado ni mshamba wa ma ndinga na big bikes!.

Mwaka 2005 kampuni ya magari ya Land Rover walitoa 1st edition ya Range Rover Sport, washikaji wangu wawili, Bered na Johnson, wakazama London, waka press order Range Sport 2, custom made Autobiography zikatua nchini kwa dege kubwa la cargo la BA, Boeng 747 Jumbo Jet, ukazishusha hizo ndinga mbili!.

Baada ya hao madogo wawili kushusha hizo ndinga, Range Sport ikaingia kwenye limelight, mtu ukiona ngozi nyeusi inavuta Range Sport, unapata dukuduku na mshawasha wa kumjua huyu jamaa ni nani?

2007, kuna event fulani pale British Council, Sanctus alikuwa anafanya presentations fulani kuhusu Simba Net, mimi nikachangia kitu, wakati wa tunatoka Sanctus aniuliza Kiti Moto kimefia wapi?!, tuonane tukifufue. Tukaagana, nilipomuangalia, akavuka barabara amepaki Range Sport pale CRDB, Holland House!. Nilisimama nikimkodolea macho mpaka anaishia!.

Toka hapo tukaanza urafiki, akanikaribisha Simba Net, tukaa chini kuanzisha studio, akaanzisha Jason Production, alinikaribisha studio yake niliitumia bure.

Le Mutuz pia alihifadhiwa na huyu jamaa!.

Tukakutana JF msiba wa Regia. Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero

Tenda ya Publicity ya DSE Wekeza Inalipa
Sanctus ni Lobbyist mzuri, alishinda tenda ya publicity ya DSE, kupitia kampeni iitwayo, wekeza inalipa. DSE Sasa Kuziwezesha SME Kupata Mitaji - Press Release

- Jinsi ya Kupata Mtaji kwa Bila Dhamana Kupitia DSE

hivyo akanikaribisha tuka join forces to execute it. Mimi ndio nilikuwa presenter, akanipa kazi ya kuwafundisha utangazaji warembo, kiukweli ilikuwa mtihani!. Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

View: https://youtu.be/WsjLgmj4Kpo?si=6jB46qio6j_y_duD

Sanctus Mtsimbe na Pasco Mayalla, Compare and Contrast
Kwenye hiyo tenda ya DSE mimi ndio nilikuwa mtangazaji kiongozi, nikapewa jukumu la kwanza kuwa train watangazaji wasaidizi. Watangazaji hao ni mabinti 5, na janki 2. Hao mabinti wote walikuwa single, halafu Mwalimu mwenyewe family inaishi US!, ilikuwa mitihani, hebu washuhudie
View: https://youtu.be/o4ALCgLrOuc?si=Lb7x1Eyvc06PyuZ3

View: https://youtu.be/5Lrm4az7BYc?si=5syRXyj2X9VyNtwh

View: https://youtu.be/cqXJMRB8hSE?si=Q1doxmJ9Vj-gYDBj

Sanctus Mtsimbe alikuwa always very smart and formal, sikumbuki kumuona event yoyote bila suti, nimi nilikuwa sometimes smart, sometimes casual and sometimes niko rough!.

Kitendo cha kunifanya Mwalimu wa warembo 5 single, ni kama kumpa fisi kazi ya kulinda mbuzi!. Mimi pia ni binadamu, na sio malaika!, darasa nikaliendesha, huku nikitaka kujiweka mahali, hebu angalia Mwanafunzi wako yuko kama huyu halafu uniambie hata ungekuwa wewe... Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini

One day nimevuta mpunga wa maana kwa Boss Mtsimbe, nikaamua huyu binti ni ama zake ama zangu!, binti akakubali zoezi la kazi na dawa, baada ya kazi, twende mahali tukapate dawa, siku hiyo Ijumaa, tumemaliza mapema, nikamwambia binti mimi natangulia chini, basi nikashuka chini na kusubiria kujibebea kama nimeokota!.

Binti akashuka na funguo za ndinga yake mkononi akasema kwa vile yeye ni star, kila mtu aende na usafiri wake tukutane sehemu, ili usiwape watu faida bure ya kupata kitu cha kusema!. Mrembo kwenda kwenye gari kumbe ni yeye ndiye ana vuta ile Range Sport ya Boss!. Hapo kuna cha kuuliza tena!, ni heshima adabu!. Kumbe ulikuwa wasiwasi wangu tuu, Boss Mtsimbe ni mtu smart, muadilifu na mchaMungu!, ni msafi kwenye muonekano, msafi kwenye mawazo, msafi kwenye maneno, msafi hadi kwenye matendo!, hanywi pombe, havuti sugar, sio mtu wa kujirusha, he was really smart kila Idara, yeye ni kazi kazi, sio akina sisi wa kazi na dawa!.

Baada ya project ya DSE kukamilika akafungua TV yake.

Ni Mtsimbe aliasisi JF get together na kunifanya mimi kuwa MC. Pia ndie alikuwa President of TPN, Jf Karibuni Tanzania Professionals Network

RIP Comred Santus Mtsimbe.
Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.

Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali

Paskali
Je marehemu aliandaa succession plan?
Mipango yake aliandaa team ya kuendelea baada ya yeye kutokuwepo au kustaafu?
 
R.I.P UNCLE SANCTUS MBELE YAKO NYUMA YETU.


nimeiona thread muda mrefu ila let me comment as well sasa hivi.
Huyu Mayalla ni mtu Safi sana. Ila ukikaa na wakubwa ukiuliza utaambiwa mzee ana vitu vingi vina mferisha. Yupo pale anapotaka kuwa ila hayupo alipotakiwa kuwepo.
Wakubwa huwa wanamchora tu. Sababu moja wapo ni nature yake.
Goodnight.
 
Nakumbuka mwaka 2007 nilikupa jina la "Pascal The comedian".

Ni miaka 17 hiyo imepita nilipokupa jina hilo bado weye watuonesha kuwa kweli ni comedian.

Kuna kipindi huwa warudi kwenye mstari lakini ukitoka tu nje ya mstari warudia theatre of comedy.
 
Back
Top Bottom