Le professel
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 545
- 806
And the principle of how order turns to disorder with increase in time.A measure of chaos!
And the principle of how order turns to disorder with increase in time.A measure of chaos!
😁😁😁😁Pole Mkuu, Sasa mwishoni ikawaje na huyo Binti mliyekubaliana kazi na dawa?
Alikuwa msabatoAlikuwa msafi kama msabato
Wanabodi
View attachment 2934383
Leo asubuhi nimeianza siku vibaya, kwa bandiko la Mkuu Maxence Melo kuhusu msiba huu.
Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.
Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.
Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.
Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".
Kufahamiana na Sanctus.
Mimi japo ni Msukuma, na sisi Wasukuma tunasifika sana kwa ushamba, mimi naomba kukiri kuwa japo mimi ni Msukuma wa mjini, niliyezaliwa mjini, nikasomea mjini, Dar na Arusha, ila ushamba wa Kisukuma wa kuchanganyikiwa na "vitu white" pia bado ni mshamba wa ma ndinga na big bikes!.
Mwaka 2005 kampuni ya magari ya Land Rover walitoa 1st edition ya Range Rover Sport, washikaji wangu wawili, Bered na Johnson, wakazama London, waka press order Range Sport 2, custom made Autobiography zikatua nchini kwa dege kubwa la cargo la BA, Boeng 747 Jumbo Jet, ukazishusha hizo ndinga mbili!.
Baada ya hao madogo wawili kushusha hizo ndinga, Range Sport ikaingia kwenye limelight, mtu ukiona ngozi nyeusi inavuta Range Sport, unapata dukuduku na mshawasha wa kumjua huyu jamaa ni nani?
2007, kuna event fulani pale British Council, Sanctus alikuwa anafanya presentations fulani kuhusu Simba Net, mimi nikachangia kitu, wakati wa tunatoka Sanctus aniuliza Kiti Moto kimefia wapi?!, tuonane tukifufue. Tukaagana, nilipomuangalia, akavuka barabara amepaki Range Sport pale CRDB, Holland House!. Nilisimama nikimkodolea macho mpaka anaishia!.
Toka hapo tukaanza urafiki, akanikaribisha Simba Net, tukaa chini kuanzisha studio, akaanzisha Jason Production, alinikaribisha studio yake niliitumia bure.
Le Mutuz pia alihifadhiwa na huyu jamaa!.
Tukakutana JF msiba wa Regia. Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero
- 'Friends of Regia' kukutana DSM Kumuenzi Regia (27 Jan 2012)
- Join "Friends of Regia" Live Chat: Skype ID: Jamiiforums
- Marafiki Wa JF & Regia Kukutana Ijumaa Hii 27-01-2012
- Picha na maelezo: Kikao cha Marafiki Wa Regia BC
- Biography Ya Regia Mtema
- Biography Ya Regia Mtema
- Taasisi ya Regia Mtema Foundation & Biography ya Regia
- Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero
- Karibuni Wote Regia Mtema Day: Monday 14th Jan 2013; Peacock Hotel
- Karibuni Wote Regia Mtema Day: Monday 14th Jan 2012; Peacock Hotel
Tenda ya Publicity ya DSE Wekeza Inalipa
Sanctus ni Lobbyist mzuri, alishinda tenda ya publicity ya DSE, kupitia kampeni iitwayo, wekeza inalipa. DSE Sasa Kuziwezesha SME Kupata Mitaji - Press Release
- Jinsi ya Kupata Mtaji kwa Bila Dhamana Kupitia DSE
hivyo akanikaribisha tuka join forces to execute it. Mimi ndio nilikuwa presenter, akanipa kazi ya kuwafundisha utangazaji warembo, kiukweli ilikuwa mtihani!. Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitaliniWekeza inalipa Movie Launch.
Jana tarehe 11 oct, Waziri wa Habari,vijana,Utamaduni na michezo Dr. Fenella Mukangara,alizindua ile filamu inaliyokuwa inasubiriwa kwa hamu, Yaani Wekeza inalipa, iliyoigizwa na wasanii wakali kutoka East Africa, yaani Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi na Tanzania. Hii habari imechapishwa na...www.jamiiforums.com
View: https://youtu.be/WsjLgmj4Kpo?si=6jB46qio6j_y_duD
Sanctus Mtsimbe na Pasco Mayalla, Compare and Contrast
Kwenye hiyo tenda ya DSE mimi ndio nilikuwa mtangazaji kiongozi, nikapewa jukumu la kwanza kuwa train watangazaji wasaidizi. Watangazaji hao ni mabinti 5, na janki 2. Hao mabinti wote walikuwa single, halafu Mwalimu mwenyewe family inaishi US!, ilikuwa mitihani, hebu washuhudie
View: https://youtu.be/o4ALCgLrOuc?si=Lb7x1Eyvc06PyuZ3
View: https://youtu.be/5Lrm4az7BYc?si=5syRXyj2X9VyNtwh
View: https://youtu.be/cqXJMRB8hSE?si=Q1doxmJ9Vj-gYDBj
Sanctus Mtsimbe alikuwa always very smart and formal, sikumbuki kumuona event yoyote bila suti, nimi nilikuwa sometimes smart, sometimes casual and sometimes niko rough!.
Kitendo cha kunifanya Mwalimu wa warembo 5 single, ni kama kumpa fisi kazi ya kulinda mbuzi!. Mimi pia ni binadamu, na sio malaika!, darasa nikaliendesha, huku nikitaka kujiweka mahali, hebu angalia Mwanafunzi wako yuko kama huyu halafu uniambie hata ungekuwa wewe... Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini
One day nimevuta mpunga wa maana kwa Boss Mtsimbe, nikaamua huyu binti ni ama zake ama zangu!, binti akakubali zoezi la kazi na dawa, baada ya kazi, twende mahali tukapate dawa, siku hiyo Ijumaa, tumemaliza mapema, nikamwambia binti mimi natangulia chini, basi nikashuka chini na kusubiria kujibebea kama nimeokota!.
Binti akashuka na funguo za ndinga yake mkononi akasema kwa vile yeye ni star, kila mtu aende na usafiri wake tukutane sehemu, ili usiwape watu faida bure ya kupata kitu cha kusema!. Mrembo kwenda kwenye gari kumbe ni yeye ndiye ana vuta ile Range Sport ya Boss!. Hapo kuna cha kuuliza tena!, ni heshima adabu!. Kumbe ulikuwa wasiwasi wangu tuu, Boss Mtsimbe ni mtu smart, muadilifu na mchaMungu!, ni msafi kwenye muonekano, msafi kwenye mawazo, msafi kwenye maneno, msafi hadi kwenye matendo!, hanywi pombe, havuti sugar, sio mtu wa kujirusha, he was really smart kila Idara, yeye ni kazi kazi, sio akina sisi wa kazi na dawa!.
Baada ya project ya DSE kukamilika akafungua TV yake.
Ni Mtsimbe aliasisi JF get together na kunifanya mimi kuwa MC. Pia ndie alikuwa President of TPN, Jf Karibuni Tanzania Professionals Network
RIP Comred Santus Mtsimbe.
Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.
Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Paskali
Mtoa mada katoa boko....kaamua kujipakulia minyama badala ya kumzungumzia zaidi Marehemu.Hata mie nimeshangaa, msiba yeye anaandika alivyofaidi ngono. Da, sasa msiba au?
Mimi mpaka nikajikuta Nina question uwezo wangu wa kuelewa.Nyie waandishi wa kitanzania sijui anasomea vyuo gani, andiko lenu lilitakiwa tumjue marehemu vizuri, umri wake, familia yake na sababu ya kifo chake, ni cha ghafla, ugonjwa wa mda mrefu, ajali nk.
Wanabodi
View attachment 2934383
Leo asubuhi nimeianza siku vibaya, kwa bandiko la Mkuu Maxence Melo kuhusu msiba huu.
Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.
Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.
Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.
Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".
Kufahamiana na Sanctus.
Mimi japo ni Msukuma, na sisi Wasukuma tunasifika sana kwa ushamba, mimi naomba kukiri kuwa japo mimi ni Msukuma wa mjini, niliyezaliwa mjini, nikasomea mjini, Dar na Arusha, ila ushamba wa Kisukuma wa kuchanganyikiwa na "vitu white" pia bado ni mshamba wa ma ndinga na big bikes!.
Mwaka 2005 kampuni ya magari ya Land Rover walitoa 1st edition ya Range Rover Sport, washikaji wangu wawili, Bered na Johnson, wakazama London, waka press order Range Sport 2, custom made Autobiography zikatua nchini kwa dege kubwa la cargo la BA, Boeng 747 Jumbo Jet, ukazishusha hizo ndinga mbili!.
Baada ya hao madogo wawili kushusha hizo ndinga, Range Sport ikaingia kwenye limelight, mtu ukiona ngozi nyeusi inavuta Range Sport, unapata dukuduku na mshawasha wa kumjua huyu jamaa ni nani?
2007, kuna event fulani pale British Council, Sanctus alikuwa anafanya presentations fulani kuhusu Simba Net, mimi nikachangia kitu, wakati wa tunatoka Sanctus aniuliza Kiti Moto kimefia wapi?!, tuonane tukifufue. Tukaagana, nilipomuangalia, akavuka barabara amepaki Range Sport pale CRDB, Holland House!. Nilisimama nikimkodolea macho mpaka anaishia!.
Toka hapo tukaanza urafiki, akanikaribisha Simba Net, tukaa chini kuanzisha studio, akaanzisha Jason Production, alinikaribisha studio yake niliitumia bure.
Le Mutuz pia alihifadhiwa na huyu jamaa!.
Tukakutana JF msiba wa Regia. Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero
- 'Friends of Regia' kukutana DSM Kumuenzi Regia (27 Jan 2012)
- Join "Friends of Regia" Live Chat: Skype ID: Jamiiforums
- Marafiki Wa JF & Regia Kukutana Ijumaa Hii 27-01-2012
- Picha na maelezo: Kikao cha Marafiki Wa Regia BC
- Biography Ya Regia Mtema
- Biography Ya Regia Mtema
- Taasisi ya Regia Mtema Foundation & Biography ya Regia
- Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero
- Karibuni Wote Regia Mtema Day: Monday 14th Jan 2013; Peacock Hotel
- Karibuni Wote Regia Mtema Day: Monday 14th Jan 2012; Peacock Hotel
Tenda ya Publicity ya DSE Wekeza Inalipa
Sanctus ni Lobbyist mzuri, alishinda tenda ya publicity ya DSE, kupitia kampeni iitwayo, wekeza inalipa. DSE Sasa Kuziwezesha SME Kupata Mitaji - Press Release
- Jinsi ya Kupata Mtaji kwa Bila Dhamana Kupitia DSE
hivyo akanikaribisha tuka join forces to execute it. Mimi ndio nilikuwa presenter, akanipa kazi ya kuwafundisha utangazaji warembo, kiukweli ilikuwa mtihani!. Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitaliniWekeza inalipa Movie Launch.
Jana tarehe 11 oct, Waziri wa Habari,vijana,Utamaduni na michezo Dr. Fenella Mukangara,alizindua ile filamu inaliyokuwa inasubiriwa kwa hamu, Yaani Wekeza inalipa, iliyoigizwa na wasanii wakali kutoka East Africa, yaani Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi na Tanzania. Hii habari imechapishwa na...www.jamiiforums.com
View: https://youtu.be/WsjLgmj4Kpo?si=6jB46qio6j_y_duD
Sanctus Mtsimbe na Pasco Mayalla, Compare and Contrast
Kwenye hiyo tenda ya DSE mimi ndio nilikuwa mtangazaji kiongozi, nikapewa jukumu la kwanza kuwa train watangazaji wasaidizi. Watangazaji hao ni mabinti 5, na janki 2. Hao mabinti wote walikuwa single, halafu Mwalimu mwenyewe family inaishi US!, ilikuwa mitihani, hebu washuhudie
View: https://youtu.be/o4ALCgLrOuc?si=Lb7x1Eyvc06PyuZ3
View: https://youtu.be/5Lrm4az7BYc?si=5syRXyj2X9VyNtwh
View: https://youtu.be/cqXJMRB8hSE?si=Q1doxmJ9Vj-gYDBj
Sanctus Mtsimbe alikuwa always very smart and formal, sikumbuki kumuona event yoyote bila suti, nimi nilikuwa sometimes smart, sometimes casual and sometimes niko rough!.
Kitendo cha kunifanya Mwalimu wa warembo 5 single, ni kama kumpa fisi kazi ya kulinda mbuzi!. Mimi pia ni binadamu, na sio malaika!, darasa nikaliendesha, huku nikitaka kujiweka mahali, hebu angalia Mwanafunzi wako yuko kama huyu halafu uniambie hata ungekuwa wewe... Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini
One day nimevuta mpunga wa maana kwa Boss Mtsimbe, nikaamua huyu binti ni ama zake ama zangu!, binti akakubali zoezi la kazi na dawa, baada ya kazi, twende mahali tukapate dawa, siku hiyo Ijumaa, tumemaliza mapema, nikamwambia binti mimi natangulia chini, basi nikashuka chini na kusubiria kujibebea kama nimeokota!.
Binti akashuka na funguo za ndinga yake mkononi akasema kwa vile yeye ni star, kila mtu aende na usafiri wake tukutane sehemu, ili usiwape watu faida bure ya kupata kitu cha kusema!. Mrembo kwenda kwenye gari kumbe ni yeye ndiye ana vuta ile Range Sport ya Boss!. Hapo kuna cha kuuliza tena!, ni heshima adabu!. Kumbe ulikuwa wasiwasi wangu tuu, Boss Mtsimbe ni mtu smart, muadilifu na mchaMungu!, ni msafi kwenye muonekano, msafi kwenye mawazo, msafi kwenye maneno, msafi hadi kwenye matendo!, hanywi pombe, havuti sugar, sio mtu wa kujirusha, he was really smart kila Idara, yeye ni kazi kazi, sio akina sisi wa kazi na dawa!.
Baada ya project ya DSE kukamilika akafungua TV yake.
Ni Mtsimbe aliasisi JF get together na kunifanya mimi kuwa MC. Pia ndie alikuwa President of TPN, Jf Karibuni Tanzania Professionals Network
RIP Comred Santus Mtsimbe.
Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.
Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Paskali
Wanabodi
View attachment 2934383
Leo asubuhi nimeianza siku vibaya, kwa bandiko la Mkuu Maxence Melo kuhusu msiba huu.
Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.
Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.
Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.
Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".
Kufahamiana na Sanctus.
Mimi japo ni Msukuma, na sisi Wasukuma tunasifika sana kwa ushamba, mimi naomba kukiri kuwa japo mimi ni Msukuma wa mjini, niliyezaliwa mjini, nikasomea mjini, Dar na Arusha, ila ushamba wa Kisukuma wa kuchanganyikiwa na "vitu white" pia bado ni mshamba wa ma ndinga na big bikes!.
Mwaka 2005 kampuni ya magari ya Land Rover walitoa 1st edition ya Range Rover Sport, washikaji wangu wawili, Bered na Johnson, wakazama London, waka press order Range Sport 2, custom made Autobiography zikatua nchini kwa dege kubwa la cargo la BA, Boeng 747 Jumbo Jet, ukazishusha hizo ndinga mbili!.
Baada ya hao madogo wawili kushusha hizo ndinga, Range Sport ikaingia kwenye limelight, mtu ukiona ngozi nyeusi inavuta Range Sport, unapata dukuduku na mshawasha wa kumjua huyu jamaa ni nani?
2007, kuna event fulani pale British Council, Sanctus alikuwa anafanya presentations fulani kuhusu Simba Net, mimi nikachangia kitu, wakati wa tunatoka Sanctus aniuliza Kiti Moto kimefia wapi?!, tuonane tukifufue. Tukaagana, nilipomuangalia, akavuka barabara amepaki Range Sport pale CRDB, Holland House!. Nilisimama nikimkodolea macho mpaka anaishia!.
Toka hapo tukaanza urafiki, akanikaribisha Simba Net, tukaa chini kuanzisha studio, akaanzisha Jason Production, alinikaribisha studio yake niliitumia bure.
Le Mutuz pia alihifadhiwa na huyu jamaa!.
Tukakutana JF msiba wa Regia. Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero
- 'Friends of Regia' kukutana DSM Kumuenzi Regia (27 Jan 2012)
- Join "Friends of Regia" Live Chat: Skype ID: Jamiiforums
- Marafiki Wa JF & Regia Kukutana Ijumaa Hii 27-01-2012
- Picha na maelezo: Kikao cha Marafiki Wa Regia BC
- Biography Ya Regia Mtema
- Biography Ya Regia Mtema
- Taasisi ya Regia Mtema Foundation & Biography ya Regia
- Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero
- Karibuni Wote Regia Mtema Day: Monday 14th Jan 2013; Peacock Hotel
- Karibuni Wote Regia Mtema Day: Monday 14th Jan 2012; Peacock Hotel
Tenda ya Publicity ya DSE Wekeza Inalipa
Sanctus ni Lobbyist mzuri, alishinda tenda ya publicity ya DSE, kupitia kampeni iitwayo, wekeza inalipa. DSE Sasa Kuziwezesha SME Kupata Mitaji - Press Release
- Jinsi ya Kupata Mtaji kwa Bila Dhamana Kupitia DSE
hivyo akanikaribisha tuka join forces to execute it. Mimi ndio nilikuwa presenter, akanipa kazi ya kuwafundisha utangazaji warembo, kiukweli ilikuwa mtihani!. Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitaliniWekeza inalipa Movie Launch.
Jana tarehe 11 oct, Waziri wa Habari,vijana,Utamaduni na michezo Dr. Fenella Mukangara,alizindua ile filamu inaliyokuwa inasubiriwa kwa hamu, Yaani Wekeza inalipa, iliyoigizwa na wasanii wakali kutoka East Africa, yaani Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi na Tanzania. Hii habari imechapishwa na...www.jamiiforums.com
View: https://youtu.be/WsjLgmj4Kpo?si=6jB46qio6j_y_duD
Sanctus Mtsimbe na Pasco Mayalla, Compare and Contrast
Kwenye hiyo tenda ya DSE mimi ndio nilikuwa mtangazaji kiongozi, nikapewa jukumu la kwanza kuwa train watangazaji wasaidizi. Watangazaji hao ni mabinti 5, na janki 2. Hao mabinti wote walikuwa single, halafu Mwalimu mwenyewe family inaishi US!, ilikuwa mitihani, hebu washuhudie
View: https://youtu.be/o4ALCgLrOuc?si=Lb7x1Eyvc06PyuZ3
View: https://youtu.be/5Lrm4az7BYc?si=5syRXyj2X9VyNtwh
View: https://youtu.be/cqXJMRB8hSE?si=Q1doxmJ9Vj-gYDBj
Sanctus Mtsimbe alikuwa always very smart and formal, sikumbuki kumuona event yoyote bila suti, nimi nilikuwa sometimes smart, sometimes casual and sometimes niko rough!.
Kitendo cha kunifanya Mwalimu wa warembo 5 single, ni kama kumpa fisi kazi ya kulinda mbuzi!. Mimi pia ni binadamu, na sio malaika!, darasa nikaliendesha, huku nikitaka kujiweka mahali, hebu angalia Mwanafunzi wako yuko kama huyu halafu uniambie hata ungekuwa wewe... Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini
One day nimevuta mpunga wa maana kwa Boss Mtsimbe, nikaamua huyu binti ni ama zake ama zangu!, binti akakubali zoezi la kazi na dawa, baada ya kazi, twende mahali tukapate dawa, siku hiyo Ijumaa, tumemaliza mapema, nikamwambia binti mimi natangulia chini, basi nikashuka chini na kusubiria kujibebea kama nimeokota!.
Binti akashuka na funguo za ndinga yake mkononi akasema kwa vile yeye ni star, kila mtu aende na usafiri wake tukutane sehemu, ili usiwape watu faida bure ya kupata kitu cha kusema!. Mrembo kwenda kwenye gari kumbe ni yeye ndiye ana vuta ile Range Sport ya Boss!. Hapo kuna cha kuuliza tena!, ni heshima adabu!. Kumbe ulikuwa wasiwasi wangu tuu, Boss Mtsimbe ni mtu smart, muadilifu na mchaMungu!, ni msafi kwenye muonekano, msafi kwenye mawazo, msafi kwenye maneno, msafi hadi kwenye matendo!, hanywi pombe, havuti sugar, sio mtu wa kujirusha, he was really smart kila Idara, yeye ni kazi kazi, sio akina sisi wa kazi na dawa!.
Baada ya project ya DSE kukamilika akafungua TV yake.
Ni Mtsimbe aliasisi JF get together na kunifanya mimi kuwa MC. Pia ndie alikuwa President of TPN, Jf Karibuni Tanzania Professionals Network
RIP Comred Santus Mtsimbe.
Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.
Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Paskali
Aione Pasco na aitunze kwenye Jalada.Pascal Mayalla ...naishia kuwashukuru wajumbe Kule Kawe .
Wanabodi
View attachment 2934383
Leo asubuhi nimeianza siku vibaya, kwa bandiko la Mkuu Maxence Melo kuhusu msiba huu.
Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.
Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.
Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.
Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".
Kufahamiana na Sanctus.
Mimi japo ni Msukuma, na sisi Wasukuma tunasifika sana kwa ushamba, mimi naomba kukiri kuwa japo mimi ni Msukuma wa mjini, niliyezaliwa mjini, nikasomea mjini, Dar na Arusha, ila ushamba wa Kisukuma wa kuchanganyikiwa na "vitu white" pia bado ni mshamba wa ma ndinga na big bikes!.
Mwaka 2005 kampuni ya magari ya Land Rover walitoa 1st edition ya Range Rover Sport, washikaji wangu wawili, Bered na Johnson, wakazama London, waka press order Range Sport 2, custom made Autobiography zikatua nchini kwa dege kubwa la cargo la BA, Boeng 747 Jumbo Jet, ukazishusha hizo ndinga mbili!.
Baada ya hao madogo wawili kushusha hizo ndinga, Range Sport ikaingia kwenye limelight, mtu ukiona ngozi nyeusi inavuta Range Sport, unapata dukuduku na mshawasha wa kumjua huyu jamaa ni nani?
2007, kuna event fulani pale British Council, Sanctus alikuwa anafanya presentations fulani kuhusu Simba Net, mimi nikachangia kitu, wakati wa tunatoka Sanctus aniuliza Kiti Moto kimefia wapi?!, tuonane tukifufue. Tukaagana, nilipomuangalia, akavuka barabara amepaki Range Sport pale CRDB, Holland House!. Nilisimama nikimkodolea macho mpaka anaishia!.
Toka hapo tukaanza urafiki, akanikaribisha Simba Net, tukaa chini kuanzisha studio, akaanzisha Jason Production, alinikaribisha studio yake niliitumia bure.
Le Mutuz pia alihifadhiwa na huyu jamaa!.
Tukakutana JF msiba wa Regia. Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero
- 'Friends of Regia' kukutana DSM Kumuenzi Regia (27 Jan 2012)
- Join "Friends of Regia" Live Chat: Skype ID: Jamiiforums
- Marafiki Wa JF & Regia Kukutana Ijumaa Hii 27-01-2012
- Picha na maelezo: Kikao cha Marafiki Wa Regia BC
- Biography Ya Regia Mtema
- Biography Ya Regia Mtema
- Taasisi ya Regia Mtema Foundation & Biography ya Regia
- Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero
- Karibuni Wote Regia Mtema Day: Monday 14th Jan 2013; Peacock Hotel
- Karibuni Wote Regia Mtema Day: Monday 14th Jan 2012; Peacock Hotel
Tenda ya Publicity ya DSE Wekeza Inalipa
Sanctus ni Lobbyist mzuri, alishinda tenda ya publicity ya DSE, kupitia kampeni iitwayo, wekeza inalipa. DSE Sasa Kuziwezesha SME Kupata Mitaji - Press Release
- Jinsi ya Kupata Mtaji kwa Bila Dhamana Kupitia DSE
hivyo akanikaribisha tuka join forces to execute it. Mimi ndio nilikuwa presenter, akanipa kazi ya kuwafundisha utangazaji warembo, kiukweli ilikuwa mtihani!. Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitaliniWekeza inalipa Movie Launch.
Jana tarehe 11 oct, Waziri wa Habari,vijana,Utamaduni na michezo Dr. Fenella Mukangara,alizindua ile filamu inaliyokuwa inasubiriwa kwa hamu, Yaani Wekeza inalipa, iliyoigizwa na wasanii wakali kutoka East Africa, yaani Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi na Tanzania. Hii habari imechapishwa na...www.jamiiforums.com
View: https://youtu.be/WsjLgmj4Kpo?si=6jB46qio6j_y_duD
Sanctus Mtsimbe na Pasco Mayalla, Compare and Contrast
Kwenye hiyo tenda ya DSE mimi ndio nilikuwa mtangazaji kiongozi, nikapewa jukumu la kwanza kuwa train watangazaji wasaidizi. Watangazaji hao ni mabinti 5, na janki 2. Hao mabinti wote walikuwa single, halafu Mwalimu mwenyewe family inaishi US!, ilikuwa mitihani, hebu washuhudie
View: https://youtu.be/o4ALCgLrOuc?si=Lb7x1Eyvc06PyuZ3
View: https://youtu.be/5Lrm4az7BYc?si=5syRXyj2X9VyNtwh
View: https://youtu.be/cqXJMRB8hSE?si=Q1doxmJ9Vj-gYDBj
Sanctus Mtsimbe alikuwa always very smart and formal, sikumbuki kumuona event yoyote bila suti, nimi nilikuwa sometimes smart, sometimes casual and sometimes niko rough!.
Kitendo cha kunifanya Mwalimu wa warembo 5 single, ni kama kumpa fisi kazi ya kulinda mbuzi!. Mimi pia ni binadamu, na sio malaika!, darasa nikaliendesha, huku nikitaka kujiweka mahali, hebu angalia Mwanafunzi wako yuko kama huyu halafu uniambie hata ungekuwa wewe... Tetesi: - Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini
One day nimevuta mpunga wa maana kwa Boss Mtsimbe, nikaamua huyu binti ni ama zake ama zangu!, binti akakubali zoezi la kazi na dawa, baada ya kazi, twende mahali tukapate dawa, siku hiyo Ijumaa, tumemaliza mapema, nikamwambia binti mimi natangulia chini, basi nikashuka chini na kusubiria kujibebea kama nimeokota!.
Binti akashuka na funguo za ndinga yake mkononi akasema kwa vile yeye ni star, kila mtu aende na usafiri wake tukutane sehemu, ili usiwape watu faida bure ya kupata kitu cha kusema!. Mrembo kwenda kwenye gari kumbe ni yeye ndiye ana vuta ile Range Sport ya Boss!. Hapo kuna cha kuuliza tena!, ni heshima adabu!. Kumbe ulikuwa wasiwasi wangu tuu, Boss Mtsimbe ni mtu smart, muadilifu na mchaMungu!, ni msafi kwenye muonekano, msafi kwenye mawazo, msafi kwenye maneno, msafi hadi kwenye matendo!, hanywi pombe, havuti sugar, sio mtu wa kujirusha, he was really smart kila Idara, yeye ni kazi kazi, sio akina sisi wa kazi na dawa!.
Baada ya project ya DSE kukamilika akafungua TV yake.
Ni Mtsimbe aliasisi JF get together na kunifanya mimi kuwa MC. Pia ndie alikuwa President of TPN, Jf Karibuni Tanzania Professionals Network
RIP Comred Santus Mtsimbe.
Umepigana vita vilivyo Vitakatifu,
Mwendo Umeumaliza, Imani umeilinda.
Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Paskali
KumbeAlikuwa msabato
Yeah. Ni mshiriki wa Segerea SDA church. Sadly miaka mwili iliyopita alimpoteza mwanae wa kiume " Jason Mtsimbe" alifia huko ughaibuni ila aliletwa na kuzikwa hapa. Bila Shaka alikuwa ndiye first born wake.Kumbe