Mzungumzaji wa Kwanza ni Waziri wa Habari, Dr. Emmanuel Mchimbi, aliwasilisha salaam za rais Kikwete.
Rais ana msiba wa kifamilia hivyo atatembelea familia kutoa pole zake baada ya msiba.
Mchimbi kasema Mzee Wakati, alitanguliza mbele maslahi ya taifa.
Kipindi kimeisha baada ya Pasco kujifagilia kwa kipindi chake cha zamani cha Kitimoto, akieleza kuwa yale yote yalikuwa mafunzo aliyofunzwa na Mzee David Wakati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.