mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Ni Mtazamo wake, lakini personnaly I know that without Dr Slaa hata hao wabunge 20 CDM isingepata ! No sir
I like Zitto a lot but I just can't trust him, time and again he has failed us miserably I don't think Mbowe is a president material nor Zitto nor Mnyika, currently I only see Dr Slaa for CDM
Ni mtazamo wangu tu
Ahsante sana kwa michango yako yote kwenye post hii,pia ahsante kwa huu mtizamo wako kuhusu Dr Slaa.
Lakini kwa swali langu la hapo juu nilipenda huyu Bi dada aje ajibu mwenyewe.....maana hahisi anakitu fulani
chini ya karpet