AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
- Thread starter
- #61
na hiyo ndo mistake ya waafrika
we are looking for heroes....wenzetu kwenye siasa na uchaguzi
they are not looking for heroes.they are looking for 'public servant'
akiweza haya,asipoweza ni kumtimua asap.....but sisi tuna ushabiki mno..
leo ukimwambia mtu kuhusu 'kukosoa wapinzani now kabla hawajaingia madarakani'
anafikiri uko chama tawala....they are not our heroes....
wapinzani watazamwe kama 'JOB SEEKERS' na sio WAKOMBOZI'
je watatufaa?wasipotufaa nguvu ya kuwatimua ,tumeiandaa?????
I do know the difference in what wenzetu and Us look in a Kiongozi, But believe me you sijawahi ifikiria in comparison katika pande ya kuangalia Viongozi in the lines of Heroes Vs Public Servants... Boss nimeipenda saana. For if one understands what traits and attributes to look in a HERO the same applies in what to look in a Public servant.... Yaaani ni Way over different..... Na hiyo says a lot of what kind of leader we choose. Don't know if we should be blamed thou for we surely need to be rescued...
Mkuu AJ nimeitikia mwaliko wako bado nadadavua mada...!
Karibu Saana Mkuu.... Na asante kwa Mchango wako.