wamewatumia watu barua mkuu..
Wadau, ni kweli. Mimi nimepigiwa simu pamoja na kuambiwa niende posta kuchukua barua yangu niende nayo, pamoja na ID, calculater na peni... Msimbazi centre
Hizi ni zile kazi za January nafaci 40.
Kaka ahsante kwa confirmation vp umepigiwa lini kiongozi?
Nimepigiwa leo asubuhi. Cut off ya GPA ni 3.9 and above only mdau
Km kuna mtu anajua vigezo exactly walivyotumia atujulishe ili tuliokosa tujiridhishe kuwa tumekosaa kihalali
Nimepigiwa leo asubuhi. Cut off ya GPA ni 3.9 and above only mdau
Nimepigiwa leo asubuhi. Cut off ya GPA ni 3.9 and above only mdau
Mtoa mada em funguka zaidi, walio apply TRA nafasi zipi na lini?. Ninacho kifahamu ni kuwa kuna nafasi walitangaza january zile za ass customs officer zilikua 40, na watu wengi tunazisubiria, je una maanisha nafasi hizo? imekuaje safari hii hawajapiga simu?