Maswali ya Interview (Written) Wizara ya Mambo ya Nje

iPhone 6

Member
Aug 8, 2020
23
41
Habari za muda huu wakuu,

Naomba kuuliza maswali gani kwenye interview za wizara ya mambo ya nje position ya Foreign Officer II, wanakua wanauliza kwenye ngazi ya written interview.
 
Habari za muda huu wakuu,

Naomba kuuliza maswali gani kwenye interview za wizara ya mambo ya nje position ya Foreign Officer II, wanakua wanauliza kwenye ngazi ya written interview.
Who is Ambassador? How can you solve diplomatic dispute between your country and other country? What are the functions of embassy?? Ngoja narudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom