Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Dkt Willbrod Slaa huwa hakurupuki bila ushahidi wa uhakika lazima hapo pana ufisadi ndani yake pengine ktk hizo bilioni 80 huyu Luoga anazo zake 40.Pili ktk habari hii mwandishi kakurupuka maana kichwa cha habari hakiendani na habari sambamba maana sioni mahali TRA wamembana Dkt wa ukweli Willbrod Slaa.
Nimelipa kodi TRA kwa miaka 4 ktk biashara yangu na cha kushangaza mwaka wa tano wameniambia nilikuwa nnaiibia Serikali pesa sbb ikiwa aliekuwa akikadiria alikosea.Sasa Kama ni kweli nilikuwa nikiibia Serikali mapato nnahusika vp hapo kwani kodi zote nimezilipa ktk ofisi zao?
Nimelipa kodi TRA kwa miaka 4 ktk biashara yangu na cha kushangaza mwaka wa tano wameniambia nilikuwa nnaiibia Serikali pesa sbb ikiwa aliekuwa akikadiria alikosea.Sasa Kama ni kweli nilikuwa nikiibia Serikali mapato nnahusika vp hapo kwani kodi zote nimezilipa ktk ofisi zao?