Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu naomba munijuze taarifa za hii gari uimara,ustahimilifu wa safari ndefu,fuel consumption yaani kifupi taarifa zote uzuri na ubaya wake tafadhalini.
Kuna jama anataka kunihamishia umiliki wa hiyo gari!!
Asanteni
Kuna jama anataka kunihamishia umiliki wa hiyo gari!!
Asanteni