Mtu-Pori
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 1,256
- 1,355
Allex ni hatchback version ya Corolla. Corolla zipo models nyingi zikiwemo Spacio, Rumion, sedan yenyewe, Runx, etc. Kwa hizo gari kama ni za 1500cc utakuta zina share injini moja ambayo ni 1NZ-FE. Kwa ushauri wa manunuzi online, jifunze kutembelea mitandao ya wauza magari kama Beforward, SBT, nk. Pia website ya TRA kwenye calculator kujua ushuru wa gari husika. Tafuta angalau 13mil kupata moja kati ya hayo magari.Jombaa Extrovert hujambo.
Sikia bro, kuna hizi gari mbili nazi-admire sana... Toyota Allion na Toyota Allex. Unakuta zote zina cc 1490 tuseme.
Huwa nikiitazama Allex naona ni kama walichukua Allion wakaikata matako yake ikawa fupi.
Lakin kinachonishangaza gari zote mbili zinauzwa kwa bei almost sawa kwenye masoko mengi ilhali moja ni mdogo nyingine ni medium saloon.
Sasa inakuaje watu wanachukua ki-babywalker Allex kwa bei sawa na wangenunua tu Allion ambayo iko more comfortable.
Ama kuna kitu sikielewi mkuu...
Mfano nikijichanga mdogo mdogo nikawa na 10 million mfukon, naweza pata moja ya gari hizo. Unanishauri nichukue gari gani kati ya hizo.
Samahani kwa kuvamia uzi, swali ulilielekeza kwa mtu mwingine.