wana JF,
nimejaribu kupitia kwa juu juu nikaona kuwa topic zinazohusu ma 'love dove' ndio zenye chart na huchangiwa sana hapa jf kwa sasa (mods nisaidieni takwimu).najiuliza kunani GREAT THINKERS?wamelishwa nini ?mbona mawazo yote ''downstairs''
Nawasilisha.............[this is just the hypothesis]
wana JF,
nimejaribu kupitia kwa juu juu nikaona kuwa topic zinazohusu ma 'love dove' ndio zenye chart na huchangiwa sana hapa jf kwa sasa (mods nisaidieni takwimu).najiuliza kunani GREAT THINKERS?wamelishwa nini ?mbona mawazo yote ''downstairs''
Nawasilisha.............[this is just the hypothesis]
tatizo na shida zote zinazotukabili bado tunakomalia chini tuuuu!!
tatizo na shida zote zinazotukabili bado tunakomalia chini tuuuu!!
Mods walitenganisha majukwa we unawaona wajinga? we ni sawa sawa na yule aliomba acess mwenyewe kwenda jukwaa la wakubwa then akaanza kulalamika.....kazi kwelikwelitatizo na shida zote zinazotukabili bado tunakomalia chini tuuuu!!
Mods walitenganisha majukwa we unawaona wajinga? we ni sawa sawa na yule aliomba acess mwenyewe kwenda jukwaa la wakubwa then akaanza kulalamika.....kazi kwelikweli
wana JF,
nimejaribu kupitia kwa juu juu nikaona kuwa topic zinazohusu ma 'love dove' ndio zenye chart na huchangiwa sana hapa jf kwa sasa (mods nisaidieni takwimu).najiuliza kunani GREAT THINKERS?wamelishwa nini ?mbona mawazo yote ''downstairs''
Nawasilisha.............[this is just the hypothesis]
Ulitaka tujadili nini sasa??? Hujui mapenzi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku bila hiyo kitu mmmhhh hapana
wana JF,
nimejaribu kupitia kwa juu juu nikaona kuwa topic zinazohusu ma 'love dove' ndio zenye chart na huchangiwa sana hapa jf kwa sasa (mods nisaidieni takwimu).najiuliza kunani GREAT THINKERS?wamelishwa nini ?mbona mawazo yote ''downstairs''
Nawasilisha.............[this is just the hypothesis]
Ni dhahiri Kuwa wabongo wanapenda starehe kuliko kazi na mara nyingi utaona kinachozunguziwa siyo mapenzi kama baadhi ya wachangiaji walivyodai ni masuala ya ukahaba uliopindukia na mada za maana za kuweza kuleta maendeleo hakuna wa kuchangia maana zinahitaji utulivu na uchambuzi wa kina na sio kujiropokea hovyo
Wabongo si wanapenda Starehe ila tunaenda na matukio subiri kipindi cha Bunge hapa tutaamia katika Bunge ikija katiba mpya tutajikita kwenye katiba lakini kwa sasa tunajikita kwenye mapenzi mwishoni tunaamia X mass! hayo ndio maisha ya mwanadamu hutawaliwa na matukio na wakati pia!