Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,111
Source Habari leo, Gazeti la serikali.Kazi kweli kweli! Hii nayo habari ama kuchafuana tu?
Source Habari leo, Gazeti la serikali.Kazi kweli kweli! Hii nayo habari ama kuchafuana tu?
Kazi kweli kweli! Hii nayo habari ama kuchafuana tu?
mzuri kuliko wabunge wote, siku anaapa nilibaki nashangaa tuKazuri kuliko wote!!!! wote akina nani?
Hamis Kingwangwalla, USITURUSHIE HOJA! Unashangaa nini wakati weye wajua kuwa huo ni UTAMADUNI wa CCM? Huyu Magige anachotoa ni RUSHWA siyo posho? Mie sishangai kuwa MNADAI MAPATO yenu yaongezeke MNAPOKAA Bungeni! Matumizi yake ndo haya! Sofia Simba naye anawabana Wabunge wanawake wa CCM. Hapa Magige atatoa hesabu ya Matumizi ya POSHO zake kwa Mwenyekiti wake! Je, kwa staili hii CCM mna intergrity ya kuendelea kuongoza nchi?
Mods jiandaeni kunipiga ban ya maisha kama Hkigwangalla ataendelea kuchangia hapa JF,nilimsitahi sana kwenye ile comment yake kuhusu hoja ya Zitto dhidi ya zao la mkonge...ni baada ya kuona great thinkers wengi wakijitahidi kumwelimisha kwa kina juu ya comment yake na nilitegemea ata adimiti udhaifu regardless ni wakwake binafsi au wabunge wa ccm na serikali yao kwa ujumla....badala yake anaibuka na uharo mwingine kwenye hii thread???!!!Anyway wacha niipate Tusker yangu bariiiiidi,ni punguze munkari.
Inasikitisha sana unachokisema hukijui vizuri maana hata hao viongozi wa chama chako nao wanayafanya hayo hayo! Tena bora CCM tunatoa michango ya kuimarisha chama chetu kwa hiari na kwa kuhamasishana kukihuisha chama chetu kwa kukichangia harambee, kuna vyama vingine wamewekeana viwango vya lazima, kama 'payback charges' kwa kupewa ubunge!
Jamani msiongee mambo msiyo yajua huyu mh mbunge hakwenda jimbo lauchaguzi bali alienda Arumeru magharibi jimbo linaloongozwa na Mh olemedeye siyo arumeru mashariki.naalienda kufungua vikundi 40 vyakinamama wajasiriamali 1200! Tujifunze kutambua mchango wawenzetu hata kidogo tusichangie kwaushabiki tuu.huyu sister anajithidi kwenyekazi zake ingawa yupo magamba huwa namuona sana na mbunge wetu wa cdm mukya naona atakua nimshauri wake wakaribuMkuu kugawa baiskeri ndo kuimarisha chama? Nini kazi ya serikali yenu? kwani nyie mnakusanya kodi? Na kwa nini zigawaiwe kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa mdogo? Mkuu mtawawadanganya watanzania kwa muda fulani lakini hamtaweza kuwadanganya kwa kipindi chote
Hivi wewe ni Doctor kweli au ni Getruda Lwakatare type?!!Ila jina lako kwa mjibu wa kabila fulani hapa tz lina maanisha mlio wa debe tupu linapoanguka chini,nadhani maana hii ni kielelezo halisi cha wewe mwenyewe hata na ukoo wako wote.Kama ndiyo wewe nakushauri usiwe unachangia kitu hapa JF,kuwa msomaji tu wa kawaida,kinyume chake mkuu utasababisha matatizo makubwa sana hapa...au umetumwa kuja kuwa source ya Ban hapa JF na ma.ga.m.ba?!!!!!
Hapo kwenye RED bila shaka Sofia Simba anahusika na UWT yake na wabunge wa viti maalum CCM walipogoma kuchangia Jumuiya shillingi 100,000/= kila mwezi.Inasikitisha sana unachokisema hukijui vizuri maana hata hao viongozi wa chama chako nao wanayafanya hayo hayo! Tena bora CCM tunatoa michango ya kuimarisha chama chetu kwa hiari na kwa kuhamasishana kukihuisha chama chetu kwa kukichangia harambee, kuna vyama vingine wamewekeana viwango vya lazima, kama 'payback charges' kwa kupewa ubunge!
Jamani msiongee mambo msiyo yajua huyu mh mbunge hakwenda jimbo lauchaguzi bali alienda Arumeru magharibi jimbo linaloongozwa na Mh olemedeye siyo arumeru mashariki.naalienda kufungua vikundi 40 vyakinamama wajasiriamali 1200! Tujifunze kutambua mchango wawenzetu hata kidogo tusichangie kwaushabiki tuu.huyu sister anajithidi kwenyekazi zake ingawa yupo magamba huwa namuona sana na mbunge wetu wa cdm mukya naona atakua nimshauri wake wakaribu
Nimeishakujua wewe ni nani, sina haja ya kujibishana na wewe, maana siyo saizi yangu na pia una lako jambo, maana nimeshtushwa na reaction yako kwa ka-comment kangu kadogo tu!
Mkuu unacho sema na kifahamu lakini Tambua kwamba kule Oldonyosambu kuna conection na jimbo la uchaguzi, kule Oldonyosambu Wameru ni wengi sana na wana ndugu zao upande wa pili wa mrima so kuna conection kubwa sana asikudanganye mtu, Na hata hivyo vikundi anao dai kwenda kufungua na vihamu fika mkuu, na wao wananifahamu vizuri sana, hapa ni siasa tu mkuu hakuna chochote kile,
hapo umechemsha mkuu! Kama unavifahamu watu wasitembelewe? Kwasababu uchaguzi umekaribia arumeru mashariki? Watu wasifanya kazi zao magharibi kisa tu wapo karibu au wanandugu huko?sijaona tatizo likowapi zaidi yachuki zakisiasa
Hapo kwenye RED bila shaka Sofia Simba anahusika na UWT yake na wabunge wa viti maalum CCM walipogoma kuchangia Jumuiya shillingi 100,000/= kila mwezi.