chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Inasikitisha sana unachokisema hukijui vizuri maana hata hao viongozi wa chama chako nao wanayafanya hayo hayo! Tena bora CCM tunatoa michango ya kuimarisha chama chetu kwa hiari na kwa kuhamasishana kukihuisha chama chetu kwa kukichangia harambee, kuna vyama vingine wamewekeana viwango vya lazima, kama 'payback charges' kwa kupewa ubunge!
Ndugu Kigwangalla, USIKIMBIE HOJA! Kwanza naomba nikufahamishe hivi:
1. Mie siyo mwanachama wa Chama chochote cha siasa! Kwa hiyo sina viongozi "wa chama changu".
2. Niliyochangia kuhusu Mh. Catherine na posho iliyoonekana ndogo mpaka kukataliwa, niliunganisha na wito wa mwenyekiti wa UWT CCM kuwa wabunge wa viti maalum wachangie jumuiya hiyo, kwa hiyo kwa kuwa Mh Magige alikuwa anafanya kazi ya jumuia yake, alikuwa AUTOMATICALLY anaitikia wito wa Sofia Simba!
3. Nilichangia kuhusu KUONGEZEKA posho za wabunge kuwa Mnalalamika kuwa Mnaombwa PESA na watu mnapowatembelea!
HOJA IKO hapo.
4. Kwa "Vyama vingine kuwekeana viwango vya lazima" Hakuhalalishi CCM kugawa pesa kwa vijana wanaowasindikiza kwenye mikutano ya hiari!