Tofauti ya mishahara ya wafanyakazi wa umma

rkgx

Senior Member
Nov 30, 2013
100
80
Kuna kitu huwa sikielewi kabisa kwanini kuna tofauti kubwa ya mishahara ya wafanyakazi wa serikali kuu na wa kwenye mashirika ya umma wakati kazi ni zile zile na maisha ni yale yale? najua wanapoandaa range za mishahara huwa kuna factor nyingi wanazingatia ikiwemo cost of living etc, sasa sijaelewa kwanini wafanyakazi wanaoishi kwenye mazingira sawa, na kwa muajiri mmoja serikali wawe na tofauti kubwa hivyo ya mishahara?? Ninachomaanisha hapa ni kwamba kwanini graduate anayeanza kazi halmashauri alipwe 567,000 while anayeanza kazi kwenye academic institution au mifuko ya jamii aanze na 867,000( not very much sure with that scale)??. Sipati majibu kwanini serikali haioni muda umefika sasa wa hawa watu kuwa na mishahara inayofanana.
 
Kuna kitu huwa sikielewi kabisa kwanini kuna tofauti kubwa ya mishahara ya wafanyakazi wa serikali kuu na wa kwenye mashirika ya umma wakati kazi ni zile zile na maisha ni yale yale? najua wanapoandaa range za mishahara huwa kuna factor nyingi wanazingatia ikiwemo cost of living etc, sasa sijaelewa kwanini wafanyakazi wanaoishi kwenye mazingira sawa, na kwa muajiri mmoja serikali wawe na tofauti kubwa hivyo ya mishahara?? Ninachomaanisha hapa ni kwamba kwanini graduate anayeanza kazi halmashauri alipwe 567,000 while anayeanza kazi kwenye academic institution au mifuko ya jamii aanze na 867,000( not very much sure with that scale)??. Sipati majibu kwanini serikali haioni muda umefika sasa wa hawa watu kuwa na mishahara inayofanana.
Nimetga jibu hapa zaidi ya dk 20 hata mchangiaji anayefaham simuoni,ngoja nami nisubiri kama wewe
 
Kiukweli jambo hili ni ubaguzi

hata hivyo ipo hoja ya kujibu swali lako

kwamba.. Mashirika ya umma.kama academic institution zipo ktk mfumo wa kibiashara.. Zinakusanya mapato makubwa ambayo kimsingi hayawwz kufanana na mapato yanayokusanywa na halmashauri ya wilaya ya newala kwa.mfn.. Kwa kulinganisha na idadi ya wafanyakaz

pia zinatengeneza profit...


pia nadhani nyingine kinachochangia ni kwamba haya mashirika ya umma yana wafanyakaza wachache ambao ni rahisi wlkuwahudumia kwa kiwango cha juu kuliko halmashauri


hata hivyo iko haja ya kuweka mishahara sawa kwa sababu zote zipo kwa ajili ya kutoa huduma kwa umma na zinatumia kodi za wananchi


NB. Hata huko halmashauri watumishi wa afya.. Uhandisi na kilimo.. Wanalipwa vzuri kuliko idara zinginw

LIPO TATIZO....
 
Back
Top Bottom