Complex Minder
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 534
- 160
Nilitaka nikuulize khs hivyo vifundo ambavyo huna uhakika.
Basi tuyaache.
Kama unavyojua uke kwa ndani ni mlaini ss unapoweka dole nakuanza kulizungusha wangosha unakua unatengeneza hvyo vifundo ni kama uchukue unga uliokandwa kwa ajili ya chapati upitishepo kidole lazima utaweka makunyanzi I can say something like kuvilia damu ss basi lile limtwangio likija likigusa hivyo vifundo ndo mwanzo wa michubuko dada