wewe huna?Wenye waume na wapenzi ndo mnao faidi
IQ uliotumia n kubwa na ulicho post n cha kwel!!!USICHEZE-CHEZE NA TENDO LA NDOA.
Kuna tofauti kubwa baina ya mwanamke na mwanamue wanapokuwa katika tendo la ndoa.
MWANAMKE:
1) Aibu huongezeka
2) Nguvu za mwili humuishia na mwili hulegea
3) Uwezo wa kufikiria huongezeka na kufika (to the maximum).
MWANAUME:
1) Aibu hutoweka kabisa
2) Nguvu za mwili huongezeka
3) Uwezo wa kufikiria(IQ) hushuka na kufikia zero! (hasa anapokuwa kileleni). Katika hayo kuna mambo tunajifunza:
a) Kumbe ndio maana Biblia inasema (mwanamume) aziniye na mwanamke hana akili kabisa; kwa sababu kimaumbile na kisaikolojia uwezo wa kufikiri hutoweka!
b) Kama mwanamke anakuwa na uwezo mkubwa wa kufikiria (to the maximum) na mwanamume akili na uwezo wa kufikiria vinashuka (to zero), bila shaka unaweza ukatambua kwa nini Samson “asingesalimika” kwa namna yeyote ile mbele ya Delila!
Nadhani wanaume tunapata somo letu hapa; “Mwanamke unaempa mwili wako kupitia tendo la ndoa, ikiwa ana nia mbaya ni rahisi mno kukumaliza kiulaini”. Katikati ya tendo hili (akili yako inapokuwa sifuri) unaweza kujikuta unakabidhi mshahara wote!
Unaweza kujikuta unaahidi kumnunulia gari wakati hata pikipiki imekushinda! Unaweza kuikana familia yako mchana kweupe! Na asikwambie mtu; “Ahadi unazozitoa katikati ya tendo hili zina nguvu kubwa kuanzia ulimwengu wa roho hadi katika fikra.
Ndio maana ukidakwa na ukajikuta umeropoka ahadi, ujue huo ni msala na hilo litakuganda mpaka ujute!”. Pengine la muhimu (kwa wote) ni kujitahidi kuheshimu miili yetu na inapotolewa kutumika basi iwe ni “sadaka ya amani na haki” kwa wale wa halali na wanaostahili
Alaaa kumbe nao huitwa baby kwenye zero point............Du kuna ukweli ndio maana wengne humuita hata Malaya baby wanapokua akili Zero pale katii.
Sinawewe huna?
Mi nadhani ni maoni yake tu.Ni utafiti ama maoni yako?
Kwani Malaya sio baby? BrazaDu kuna ukweli ndio maana wengne humuita hata Malaya baby wanapokua akili Zero pale katii.
Malaya ni malaya 2Kwani Malaya sio baby? Braza
Ahsante kk nashukuru kw neno lakoWadau humu mnapenda sana kubisha na mnaotaka refference someni ki-ufasaha vitabu vyenu vya Imani zenu.
Mkae chini mjifunze, sio lazima mujifunze saaana kama viongozi wenu wa kiroho, ila kuna yale ya msingi utayafahamu likiwemo hilo la mleta maada.
Mjifunze jamani, siyo kila kitu ni lazima kuwekwa refference, vyengine vipo tu na vinajulikana, hata hayo aliyoyataja mleta uzi huu, yamo katika Biblia.
Nami namalizia kwa kuwaambia, hakuna dhambi ambayo Mungu, anaichukia na anachukua muda mrefu sana kukusamehe, kama Zinaa. Na ukiusoma mstari huu nitakaokupa kwa makini utagundua, Mungu anaweza kukusamehe dhambi hiyo, ila madhara yake ni juu yako, yeye ahusiki nayo.
- Ezekieli 24:13-14
-Warumi 13:11-14
Kwenda pamoja na mleta uzi, someni - Yeremia 31:22 Mwanamke kapewa mamlaka ya kumlinda mumewe.
Ahsante!