Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Hivi inachukua muda gani kupata visa ya Marekani, kwa mtu anayekwenda huko mara ya kwanza? Toka kutuma maombi, kwenda kwenye interview, mpaka kuja kupata (provided docs. zote ziko sawa na hamna kizingiti chochote)?
Na ukishapata, ni dirisha la siku ngapi unapewa kuitumia kabla haija expire (kama huwa ina expire)?
Na ukishapata, ni dirisha la siku ngapi unapewa kuitumia kabla haija expire (kama huwa ina expire)?