The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Nyani, umenena.
Do we real have an alternative ama they are just like JK????????
To many promises before they get to power and once they are on top wanasahau wajibu wao!
Sijui kama Tanzania tuna viongozi waadilifu hata wakati huu tunaolilia ufisadi na mengine mengi!
Kama ni kweli TZ haina viongozi bora kuliko JK then tusahau kuhusu maendeleo. Lakini kwa mtizamo wangu, pamoja na ufisadi ulioendelea awamu ya tatu bado BWM ni bora kuliko huyu jamaa yetu. Yaani ni kama kulinganisha maji na mafuta. In fact kuna jamaa kibao wanauwezo zaidi yake tatizo sisi tunaangalia sifa badala ya uwezo.
Hata mama Asha Rose nafikiri ni Prez material and could do much better that what we have now!!!