Kikwete anaweza kuwa na mapungufu yake ila ni imani yangu kuwa yeye pekee si tatizo wala chanzo cha tatizo. Siasa, sera tekelezi na magenge pinzani ndani ya chama tawala ndio tatizo letu kubwa. Kwa jinsi CCM kusivyokuwa shwari kwa sasa hata hayati baba wa taifa angepata taabu kuongoza jahazi hili.
yep haina haja ya kusema sana abt our president , nchi yetu imeoza yote mfano anatowa mikopo watendaji wanakula sasa kikwete ndie msimamizi, kwa ufupi serikali yote imeoza inabidi kwanza sisi tubadilike na ndipo twawza kumchaguwa kiongozi bora , kama bado hatubadiliki hata kama tukichagua upinzani hakutakuwa na faida na uwozo utakuwa twice of that we have