HASSAN SHEN
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 428
- 69
Mh.Mwakembe aeleze hivi ni kwa nini ukitaka tiketi ya treni kutoka kigoma kuja dar na vice versa,unaombwa uoneshe kadi ya kupigia kura,kwani kigoma sio Tanzania?
Hata Marekani kupanda ndegee siku hizi lazima uonyeshe kitambulisho.
Kwa hilo naunga mkono 100%, tena ikiwezekana tutembee navyo kabisa na mtu asiruhusiwe kupanda treni bila kitambulisho maana kuna wengine wanadandia tu bila tiketi.
Kuzuia wahamiaji haramu kutoka nchi za jirani hasa Kigoma wahamiaji haramu wapo wengi mno. Kwangu mimi sioni kuwa ni tatizo hilo. Hata Serikali akiamua kuwaambia polisi watuulize vitambulisho mitaani naona poa tu kwa usalama wetu na nchi yetu dhidi ya Wahamiaji haramu.
Mbona kutokea Unguja, Pemba, au Kenya vitambulisho havihitajiki? Ni upande gani ni hatari zaidi kwa usalama wa nchi? Kigoma au Pemba/Kenya? Tumesahau maharamia ya kisomali yamezagaa huko baharini na kupitia mpaka wa Kenya na upande bahari?
In short, kama usalama wa nchi uko mashakani kutokana na uhamiaji haramu basi wahamiaji hao ni kutoka Somalia, Ethiopia, Eritrea, Djibouti, na Sudan ya Kusini. Kigoma ni cha mtoto, after-all upande wa west ni wabantu wenzetu. Ukisikia kuchuja mbu ukameza ngamia ndio kitu kama hiki.
Mh.Mwakembe aeleze hivi ni kwa nini ukitaka tiketi ya treni kutoka kigoma kuja dar na vice versa,unaombwa uoneshe kadi ya kupigia kura,kwani kigoma sio Tanzania?
huko kigoma kuna wakimbizi wanaweza kuingia mjini dar wakatujazia huu mji
Wa mjini vp? Hivi hawa wahamiaji haram tunaosikia kila siku kwenye vyombo vya habari mara wamekamatwa mara wamekufa wanapitia kigoma?
Mh.Mwakembe aeleze hivi ni kwa nini ukitaka tiketi ya treni kutoka kigoma kuja dar na vice versa,unaombwa uoneshe kadi ya kupigia kura,kwani kigoma sio Tanzania?
Mh.Mwakembe aeleze hivi ni kwa nini ukitaka tiketi ya treni kutoka kigoma kuja dar na vice versa,unaombwa uoneshe kadi ya kupigia kura,kwani kigoma sio Tanzania?