Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
๐ง๐ถ๐ด๐ผ๐ฝ๐ฒ๐๐ฎ ๐ป๐ฑ๐ฎ๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ
View attachment 2792077
Kampuni ya Tigo nchini Tanzania imezindua mfumo mpya wa watu kuweza kufanya miamala mbalimbali kupitia Whatsapp.
Kukua kwa Teknolojia nchini Tanzania Kuna fanya makampuni mbalimbali kuongeza ushindani Kwenye kurahisisha huduma mbalimbali ili wateja waweze kufurahia.
View attachment 2792078
Whatsapp ni mtandao maarufu ulimwenguni na unatumiwa na watu wengi kuliona ilo kampuni ya Tigo kupitia mkuu wa idara wa masuala ya fedha Miss Angelica Pesha, wameamua kuleta huduma rahisi ya watu kuweza kufanya miamala kupitia WhatsApp.
View attachment 2792080
Tigo wameleta huduma ya Tigo Pesa Kwenye Whatsapp kwa watu kuweza kutuma pesa, kupokea, kufanya malipo mbalimbali pamoja na kusimamia mfumo mzima wa tigo Pesa ndani ya Whatsapp.
Fanya hivi
โข chukua namba hii 0675300300 itumie ujumbe Whatsapp wa neno "Mambo"
โข chagua lugha unayotaka English au Swahili.
View attachment 2792079
โข Kuna vigezo na masharti utaweza kuvisoma na kukubali Kisha inabidi ujisajili kwa kuweka namba yako ya tigopesa mfano (0655013*) au (+255655013)
โข Kisha utaweza kusajiliwa Kwenye mfumo wa Whatsapp na kuweza kutumia huduma hiyo Kwenye Whatsapp.
View attachment 2792081
Kwa msaada zaidi tembelea ofisi za tigo Tanzania
View attachment 2792077
Kampuni ya Tigo nchini Tanzania imezindua mfumo mpya wa watu kuweza kufanya miamala mbalimbali kupitia Whatsapp.
Kukua kwa Teknolojia nchini Tanzania Kuna fanya makampuni mbalimbali kuongeza ushindani Kwenye kurahisisha huduma mbalimbali ili wateja waweze kufurahia.
View attachment 2792078
Whatsapp ni mtandao maarufu ulimwenguni na unatumiwa na watu wengi kuliona ilo kampuni ya Tigo kupitia mkuu wa idara wa masuala ya fedha Miss Angelica Pesha, wameamua kuleta huduma rahisi ya watu kuweza kufanya miamala kupitia WhatsApp.
View attachment 2792080
Tigo wameleta huduma ya Tigo Pesa Kwenye Whatsapp kwa watu kuweza kutuma pesa, kupokea, kufanya malipo mbalimbali pamoja na kusimamia mfumo mzima wa tigo Pesa ndani ya Whatsapp.
Fanya hivi
โข chukua namba hii 0675300300 itumie ujumbe Whatsapp wa neno "Mambo"
โข chagua lugha unayotaka English au Swahili.
View attachment 2792079
โข Kuna vigezo na masharti utaweza kuvisoma na kukubali Kisha inabidi ujisajili kwa kuweka namba yako ya tigopesa mfano (0655013*) au (+255655013)
โข Kisha utaweza kusajiliwa Kwenye mfumo wa Whatsapp na kuweza kutumia huduma hiyo Kwenye Whatsapp.
View attachment 2792081
Kwa msaada zaidi tembelea ofisi za tigo Tanzania