Kunasehemu nilisoma ila sikuenda kiundani sana watu wanashauri mtandao wa TIGO wabadilishe jina maana Tigo limekuwa tusi, naomba kuuliza kama **** mwenye tafsri ya tusi hilo tusije tukafulia tukirudi home.
Nawasilisha.
Kunasehemu nilisoma ila sikuenda kiundani sana watu wanashauri mtandao wa TIGO wabadilishe jina maana Tigo limekuwa tusi, naomba kuuliza kama **** mwenye tafsri ya tusi hilo tusije tukafulia tukirudi home.
Nawasilisha.
Ninavyojua mimi kuhusu lugha ni kwamba mpaka neno liwe kwenye kamusi ndio linakubalika kwa maana lililolpewa. Na kila lugha inaongeza maneno kwa njia hiyo. Kigezo kimojawapo ni idadi ya watumiaji. Je Tigo linaeleweka kwa asilimia kubwa ya wa Tanzania?
Achana na akina Masanilo ndo wanaopelekea hilo neno lionekane tusi., nadhani wana`imagine ile nembo ya tigo, wanaifananisha na ma****** ya majimama wao! kwii kwii kwiii!
Hujasikia watu wanasema ~nimemchukua yule demu "voda to voda"~. akimaanisha hajatumia salama?
PakaJimmy nashukuru umetoa kidogo mwanga kwamba voda to voda wana maanisha bila Salama basi na hili pia huenda wakawa na maana ndani yake.
Poa ila nimepata mwanga kidogo.
Neno Tigo lilipata maana ingine mara tu walipotoa tangazo kuwa Tigo itakupa utakacho na zaidi......sasa hiyo zaidi ndio ikaleta tafsiri hiyo....kwa mabazazi....
Kuna rafiki ya ngu mlokole anafanya kazi Tigo..anaogopa kutaja jina la kampuni yake. Hawezi kuthubutu kusema anafanya kazi TiGO..anachosema anafanya kazi MIC Tanzania. Ukimwambia sema tiGO anagoma kabisa!!!
SAMAHANI MODS MSINIPE BAN NATOA TU UFAFANUSI HILI NENO LITUMIKAVYO HUKU USWAHILINI. ukweli tiGO inamaanisha mwanamke au shoga anaetoa kinyume na maumbile e.g mke unamuingilia njia ya kawaida ukeni then unamgeuza na kutaka kumuingilia njia ya haja kubwa ndiko huko kuitwako tiGO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.