kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 904
- 1,243
Kama mmeshindwa kuweka security kwa mawakala wenu kwenye huduma za kusitisha miamala, hii huduma iondoeni inatufilisi mawakala.
Jana mfanyakazi wangu kapigwa 50k tigo pesa, mtu ametoa hela umempa cash, katoka kaomba kusitisha muamala, ikala Kwangu wakala, ujinga huu!
Jana mfanyakazi wangu kapigwa 50k tigo pesa, mtu ametoa hela umempa cash, katoka kaomba kusitisha muamala, ikala Kwangu wakala, ujinga huu!