TIGO msitufanye washenzi bana aaah !! ona hii juu ya Blackberry.

Inaonekana wanaongeza mbwembwe tu ila ukweli ni kwamba unapewa kiasi fulani cha MB, sina hakika kitu kama MB500 uzitumie ndani ya mwezi mmoja bure
Sasa ukizitumia kwa linusu saa utajua mwenyewe maana baad ya MB zao kwisha makato ni kama kawa
 
kaka kwa sim kwenye Speed yeah voda wakali lakini gharama zao No no! Airtel gharama zao poa speed nayo wanajitahidi ila hawajafikia za voda. TIGO these mah f... Speed ni ya kipumbaf gharama zao za kijinga eti Megabox, megabx my a$$ nlijiunga na Android ckuweza kufanya ki2 nikaacha zifie huko. Afu jidanganye usitumie kifurushi wanakomba hela yote na ndo kwanza umefungua google, tigo ctakaa nii2mie kwa Net maishani na nawashauri wangeachana 2 na hiyo biashara waka invest zaidi kenye cheka zao hizo. Ndo maon yangu hayo

sijajua tigo wana beef gan na samsung au kwa sababu edge, line yangu nikiweka kwenye nokia yangu yenye 3g iko speed ila niijaribu kwenye samsung kama 2 speed unachoka mwenyewe "TIGO INTERNET INATEGEMEA NA SIMU/DEVICE YAKO"
Naomba wenye samsung wanao faidi intanet ya tigo na unipe model yake...
 
sijajua tigo wana beef gan na samsung au kwa sababu edge, line yangu nikiweka kwenye nokia yangu yenye 3g iko speed ila niijaribu kwenye samsung kama 2 speed unachoka mwenyewe "TIGO INTERNET INATEGEMEA NA SIMU/DEVICE YAKO"
Naomba wenye samsung wanao faidi intanet ya tigo na unipe model yake...

aisee na mimi naomba huyo m2 atupe wote model yake. Yaani hivi ushaona kufungua Google unasubiri dakika saba ndo inafunguka usearch unachotaka? Kama bado weka tigo kwenye Android ujionee kwa macho yako. Lakini kaka nakumbuka hata wakat nna ki X2 nokia bado hawa jamaa walikua wanazingua speed low na kama hauna kifurushi inakula kwako.
 
aisee na mimi naomba huyo m2 atupe wote model yake. Yaani hivi ushaona kufungua Google unasubiri dakika saba ndo inafunguka usearch unachotaka? Kama bado weka tigo kwenye Android ujionee kwa macho yako. Lakini kaka nakumbuka hata wakat nna ki X2 nokia bado hawa jamaa walikua wanazingua speed low na kama hauna kifurushi inakula kwako.

nokia X2 ni 2g network, bado sijawaelewa nokia hawatujali kabisa hizi double line zao karibia zote ni 2g na hamna zenye document viewer zote s40 hapa ndio wananiua kabisa...
 
Nilipo mm hata 3g haishiki naishia kupata edge kwa hiyo video ni kama naangalia cd iliyokwaruzika kwa BB. TCRA kweli iingilie kati hz promo coz tunaingizwa vyoo vya kike mara kibao. Samsung mi mbona haisumbui saana ni omnia I900(pocket pc)

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwangu Mimi tigo is the best ukitumia kwenye iPad . Kwanza wana interface ya kuweza kununua bundles na kuangalia data balance bila Kutoa sim card. Nilikuwa na airtel sim card nimepata Shida mayo sana,maana kuna breakdown Mara kwa Mara na reloading voucher is troublesome. Kuangalia video kwa YouTube iko fast. In fact nimejaribu hata kustream aljazeera live bila chenga. That said, Nita prefer tigo Internet kwenye tablet kuliko nyingine. Yawezekana location pia inachangia. Natumia hasa meaner ya ilala,kinondoni na temeke
 
Back
Top Bottom